huyu mume amekuwa msalaba kwangu

duh, maisha yana matatizo mengi.

Wakati wengine wanahangaika na wagonjwa kwenda India wengine wamme wao hawavai sarawali lol

kila mtu na share yake lakini.
 
*

kiukwel huyu baba nlianza nae maisha akiwa na pesa m.1 tukawa tunalala chn na kabiashara kadg sa hv ana magar2 nyumba ambavyo amevpata tukiwa pamoja na ofcourse anajal familia na me mwnyewe

kinachnifanya niombe ushauri ni umalaya wa kupindukia alionao mwez wa tan nlisafir kma wki moja kurud nkakuta kamnunulia dada mmoja kitanda na vtu vya ndan ikiwa ni njia ya kumtaka kimapnz bda ya kununua yule dada akamtosa kwan alikuwa na boifrnd mume wangu akamzisha ugomv kudai hvy vit kwa jins nlivyoelezwa
hakuna sket inayompita awe housgirl au rafki yang nimevumilia nimechoka sasa naona imetosha lakini kikubwa sina pa kuanzia naogopa kuwaeleza wazaz wangu kwan wataniambia nirud nyumban hata leo nafikiri maisha ya hawa watoto wake bada ya mimi kuwaacha kwan nimekuwa kma mama yao na msaada kwao.
mume haambiliki na wala hawezbadilika nshaongea nae sana imeshndikana
wana jf naombeni ushaur wa kina nahs kuchanganykiwa
nb![/QUOTE]

pole sana dada yangu, yani nimeumia sana na tatizo lako!na
choweza kukushauri dada yangu ni kwamba, kumbuka wewe bado ni kijana na ni mama wa mtoto anayekutegemea na zaidi ya yote naona upo kwenye hatari ya kuletewa magonjwa, dunia imeisha hii. hata kama bado unampenda sana huyo mume wako lakini nahisi yeye hana upendo na wewe. hivyo basi, jitoe na uwashirikishe wazee wa jirani au wazazi ili kumrekebisha. vinginevyo rudi nyumbani na ujishughurishe kumlea mwanao. kuhusu hao watoto wengine nashauri umtafute mama yao na kumweleza au ndugu zake ili wajue la kufanya kuhusu watoto. tafadhali fanya hayo! pole sana!
 
*

kiukwel huyu baba nlianza nae maisha akiwa na pesa m.1 tukawa tunalala chn na kabiashara kadg sa hv ana magar2 nyumba ambavyo amevpata tukiwa pamoja na ofcourse anajal familia na me mwnyewe

kinachnifanya niombe ushauri ni umalaya wa kupindukia alionao mwez wa tan nlisafir kma wki moja kurud nkakuta kamnunulia dada mmoja kitanda na vtu vya ndan ikiwa ni njia ya kumtaka kimapnz bda ya kununua yule dada akamtosa kwan alikuwa na boifrnd mume wangu akamzisha ugomv kudai hvy vit kwa jins nlivyoelezwa
hakuna sket inayompita awe housgirl au rafki yang nimevumilia nimechoka sasa naona imetosha lakini kikubwa sina pa kuanzia naogopa kuwaeleza wazaz wangu kwan wataniambia nirud nyumban hata leo nafikiri maisha ya hawa watoto wake bada ya mimi kuwaacha kwan nimekuwa kma mama yao na msaada kwao.
mume haambiliki na wala hawezbadilika nshaongea nae sana imeshndikana
wana jf naombeni ushaur wa kina nahs kuchanganykiwa
nb!
pol
e sana dada yangu, yani nimeumia sana na tatizo lako!na
choweza kukushauri dada yangu ni kwamba, kumbuka wewe bado ni kijana na ni mama wa mtoto anayekutegemea na zaidi ya yote naona upo kwenye hatari ya kuletewa magonjwa, dunia imeisha hii. hata kama bado unampenda sana huyo mume wako lakini nahisi yeye hana upendo na wewe. hivyo basi, jitoe na uwashirikishe wazee wa jirani au wazazi ili kumrekebisha. vinginevyo rudi nyumbani na ujishughurishe kumlea mwanao. kuhusu hao watoto wengine nashauri umtafute mama yao na kumweleza au ndugu zake ili wajue la kufanya kuhusu watoto. tafadhali fanya hayo! pole sana![/QUOTE]

i agree with you,nimeshangaa wengine wanamuambia avumilie...mnh dada kifo hapo kipo nje nje,acha kucheza na maisha yako,,,hao watoto wanaokuweka hapo jiulize ukifa itakuwaje,huoni wewe ndio msaada wao mkubwa na UHAI wako should be of paramount....
 
what comes around goes around.......................


anyway....

unaogopa kurudi kwenu au unaogopa kukosa pesa ya mumeo?????????????

ina maana huogopi kuletewa maradhi?

basi kama huogopi magonjwa na unaogopa kujitegemea... baki na huyo mume......unaweza kuendelea kusex nae au mkatengana vyumba.....


ila kama unajiamini, unajithamini na kujijali wewe na mtoto wako wa miaka 3.......

kapime ngoma,
fungasha vyako ondoka...........

miaka 24 ni mdogo sana bibie, una mengi ya kuishi, kujifunza na kuenjoy.....

tafuta mtaji (hata ukimchomolea huyo mume sawa tu...), beba gari moja sepa..... ila usisahau kushirikisha wazee wajue umeshindwa na umeondoka.....

kaanze biashara hukooooooo....

miaka 24????????????? unaogopa kuface maisha? whyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy?
 
mtafutie dawa
wana dawa nasikia lol
Amwekee LIMBWATA ndio kiboko ya mambo........................LOL

:focus:
Kama una imani, namaanisha imani hasa, basi mkabidhi Mungu, atatulia mwenyewe, fuata ushauri wa gfsonwin anao ushuhuda mzuri sana ambao unahitaji mtu kuwa na imani isiyotetereka.
 
Last edited by a moderator:
what comes around goes around.......................


anyway....

unaogopa kurudi kwenu au unaogopa kukosa pesa ya mumeo?????????????

ina maana huogopi kuletewa maradhi?

basi kama huogopi magonjwa na unaogopa kujitegemea... baki na huyo mume......unaweza kuendelea kusex nae au mkatengana vyumba.....


ila kama unajiamini, unajithamini na kujijali wewe na mtoto wako wa miaka 3.......

kapime ngoma,
fungasha vyako ondoka...........

miaka 24 ni mdogo sana bibie, una mengi ya kuishi, kujifunza na kuenjoy.....

tafuta mtaji (hata ukimchomolea huyo mume sawa tu...), beba gari moja sepa..... ila usisahau kushirikisha wazee wajue umeshindwa na umeondoka.....

kaanze biashara hukooooooo....

miaka 24????????????? unaogopa kuface maisha? whyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy?
Niliwahi kusema hapa, kuna wakati wanawake yawapasa kuchukua maamuzi magumu..................
 
Pole sana mdada.

Kwanza nakushauri uwe makini na afya yako, kama mumeo ndo ivyo tena kila sketi ni halali yake basi cheki afya yako na mara moja acha kushiriki nae tendo la ndoa!

Ntakuja baadae!
 
Hivi . . . . . . . aaahh. . . . . . . .ngoja nitulie kwanza hasira zimenizidi!!
 
mi naona we mpotezee tu. waache awafunue weee, kikubwa umesema anakujali wewe na watoto. bac kila mtu alale kivyake usijepata kirusi, wakati huo jipange jinsi ya kujikwamua ili uweze kusimama wewe kama wewe kimaisha.
 
Binafsi naona kama unatembea na jeneza bado kuingia na kuzikwa tu.kama ungekuwa unaishi naye bila kufanya ngono ningekushauri uendelee naye,lakini kwa hilo sitafuni maneno go mama.ndoa utailinda,kuvumilia utavumilia sasa vipi kuhusu ukimwi move on mama watoto waombee kwa mungu awalinde.ndoa hiyo haikufai ni kama msitu wa pande.
 
amwekee limbwata ndio kiboko ya mambo........................lol

:focus:
Kama una imani, namaanisha imani hasa, basi mkabidhi mungu, atatulia mwenyewe, fuata ushauri wa gfsonwin anao ushuhuda mzuri sana ambao unahitaji mtu kuwa na imani isiyotetereka.
amkabidhi mungu kwani mungu ndie alimtuma aharibike tusitafune maneno atakufa halafu mwisho wa siku tutamalizia ni mipango ya mungu,si ndo kawaida yetu hata meli zikizama mdivyo tunavyosema.
 
Back
Top Bottom