www.chuki.com/majungu sio mtaji
Aiseee baba yangu jamaa anatafuta rizki watoto wake nao wasome na wapishane chooni,,, kama unatafuta m2 wa kumpa makavu live ni pm nikupe namba ya jei kei
nawasilisha maoni yangu
huyu jamaa nakumbuka kwa mara ya kwanza nilimuona ITV kipindi cha mizengwe pamoja na kina mkwerè na zembwela. katika scene nyingi za mwanzoni alikua akionekana kama FUNDI CHEREHANI, na kuna mdogo wangu alikua anasoma Reginald Mengi Primary School karibu na baa ya Mawela aliniambia kwamba alikua anamuona sana Wakuvwanga anashona nguo kwenye cherehani jirani na shule yao. nadhani sanaa sio fani yake, arudi kushona nguo!!
Nawasalimu wanajeiefu wote, straight to ze point ebwana huyu msanii anayeitwa WAKUVANGA wa kundi la ORIJINO KOMEDY huwa sioni anachokifanya zaidi ya kunikera!! kuchekesha kwenyewe hajui,anaforce fani ambayo sio yake. ushauri wangu kwa huyo jamaa angeenda kuimba taarabu na akina mzee yusuf ndio angependezea zaidi ......mwenye namba zake unipe nimpe MAKAVU LIVE.
Mkuu kila mtu anauwezo tofauti na mwenzake sio wote wanaweza kua sawa mfano joti kwa upande wangu namwona yuko juu kuliko wenzake thn masanja,mpoki,na wengine.ww anakukera wakuvwanga wengine watasema makregani ila wote wanafit katika pozisheni wanazowekwa mfano kwangu nlikua napenda sana segmet ya ndoa ndoano na wahusika walikua wanafiti sana japo kwengine wanapwaya.