Huyu mjamzito nimsaidiaje?

My dear friend u re joking wit FIRE N NOW the way i can see u want to throw stones to a POLICE STATION. We don t knw where n wen u started seducing her. N the way things r going,u r the cause of her marriage break up.Remember she s somebody's wife n not ur wife. Hw will u feel if somebody sleeps with ur expectant wife? Don t tae advantage n of somebody's problem,mayb she want to see u wat kind of a man r u. My free advise s my boy,try to call her hubby n find where there s a problem n solve it once n for all. If the problem s big LET HER GO TO HER PPLE don't stay wt her ok? Otherwise u'll blame urxelf.

Zingatia mpangilio na uandishi ulio sahihi.
 
Kila kinachotokea dunian kinatokea kwa sababu sasa think yourself before...
 
nitarudi
ila kama unaniacha napotea vile!

unapotea vp wakat umeshaikubali dhambi ya uzinifu kabla ya ndoa au ulitaka nishaur nin labda me meona huo unakufaa sana wewe kajigongee kiroho safi tena unaonekama una shauku kama umepanga had meetng day wew ni hatar sana aisee
 
duuu kuna ushauri nilitaka kukupa bt baada ya kumalizia topic kumbe kesho ndio unapga gemu bas ckilza huu

wewe nenda kapige game tena simamia shoo coz inaonesha mbali na huyo dada kukushawishi hata wew ulikuwa ukimuwinda na ucjue utampataje

sasa kazi ni kwako kama utatumia dawa ya penz au utaogelea bila mwamvul kaz ni kwako nategemea uje na majibu ya jinsi gan ulivyoenjoy game na mama mjamzito
Over!!

Nimeupenda ushauri wako. Ila tumuulize kwanza, ana mke? Maana yawezekana wamekutana!
 
kw hiyo kila mwenye shida hiiyo akikufuata utamsaidia jaribu kuithamini hiyo nani yako sio kila tundu tu unataka uchimbe.
 
Huyo ni
1.mke halali wa mtu au la?
2. Ni mjamzito wa umri gani(umri wa mimba)?
3. Ushauri unaotaka ni wa nini kutumia kinga au kukutana bila kinga?Maana mmeshapanga hata siku ya Uzinifu.
4. Nini kilichofanya "akaachana" na mumewe?
5. Hiyo mimba/ujauzito ni wa nani(kulingana na maelezo yake)?

Sijaelewa kama ni mtu ambaye ana undugu na mpangaji wako ni kwanini atumie simu yako kuwasiliana na "mumewe" na simu siyo kutumia simu ya ndugu yake ambaye ni mpangaji wako?
Ukikutana kimwili, naye then akwambie kuwa hiyo ni mimba yako, au mara watoto wamekuzoea sijui ukae nao, utashangaa au utarudi tena hapa kuomba ushauri?

Bado nashindwa kuelewa inakuwaje "ametoswa" lakini bado anamuita MUMEWE?

mkuu huyu hakufunga ndoa huko alipo kuwepo
mimba ina miezi mitatu hata haionekani!
Kitu kinachonikwamisha na mimi kustuck ni suala la kotokumia kinga.
Hawa watoto wake wapo kwa baba mwingine hakai nao!
 
unapotea vp wakat umeshaikubali dhambi ya uzinifu kabla ya ndoa au ulitaka nishaur nin labda me meona huo unakufaa sana wewe kajigongee kiroho safi tena unaonekama una shauku kama umepanga had meetng day wew ni hatar sana aisee

maamuzi haya yamekuja baada ya yeye kujitapa kuwa mimi ni mwanaume suruali
ndio nikapanga date of game
 
nAKUSHAURI ACHANA NAYE ANAWEZA KUKUAMBYKIZA MARADHI AU NI MCHEZO YEYE NA MUMEWE WAKUFUMANIE NA WADAI MIMBA NI YAKO NA JE KAMA KAACHWA UNAJUA SABABU YA YEYE KUACHWA ?
 
maamuzi haya yamekuja baada ya yeye kujitapa kuwa mimi ni mwanaume suruali
ndio nikapanga date of game

Mwanaume usiyumbishwe na Ego... huo mtego wa kukumaliza.. anakuita mwanaume suruali, yeye angekuwa mwanamke wa kweli si angekuwa na mume wa kumgegeda... she should go to hell
 
Dunia ya leo hakuna cha bure! Ningekuwa mm tunaelewana kbs kama ni bure nitampa buku 20,
Kama ananiuzia ataje bei au masharti yake! La sivo bei yake yaweza kuwa ugonjwa
 
Back
Top Bottom