ngungwangungwa
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 642
- 554
- Thread starter
- #21
Mkuu nashukuru kwa ushauri wako,lkn hana mume. Mume alifariki mwaka 2010 kwa ajali.ushauri wangu ni huu ufuatao:
1. piga hesabu pesa zote alizowahi kukupa tangu uvamiwe na majambawazi uwe nazo tayari akizihitaji pindi utakapo kataa usiliwe kiboga na mumewe.
au
2. ukubali kula na kuliwa....
3. mke wa mtu sumu, uache hayo mazoea ya kupokea zawadi...