Rose1980
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 5,684
- 1,302
nimekusoma kiufasaha...
ur wlcm!!!
nimekusoma kiufasaha...
Hili nalo neno lol!Nasema hiivi kumaanisha maana kama amekuja yuko sawa amefika kwako akaanza mashosho lazima na wewe nikuulize kulikoni ??alipotoka asiwe hivyo aje kupakia lotion na mengineyo kwako?
jua lileeee literemke mamaaa aiyaaa iyaaaa iyaaa maamaa
Iddy amin akifaaaa mimi cweeezi kuliaaaa ntam2pa kageraaaa awe chakula cha mambaaaehhh dada mwajumaaa....ameinama..ameinukaaaaa anaona haya uyoooooooooooooooo....................!!!!!!!!!
Kwanza hongera kuwa na apartment......maana siku hizi kuwa na nyumba bongo we kibopa
Pili naomba nikupe ushauri...kama si ndugu yako yanakuhusu nini.... Ingekuwa uswahilini tungesema wewe mswahili....Muache yeye ndo anajua mipangilio ya maisha yake ilimradi kodi yako kakupa.... NADHANI HAKUNA HAJA YA KULETA HOJA HII KWENYE JF.
Duuuh, inabidi tuorodheshe hizi nyimbo za mchaka mchaka , bore mfungue thread mpya ... heee
Si amepanga tu kwako ? na analipa kodi ? na ni mtu mzima ? Maisha yake binafsi hayakuhusu huo ndio 'uswahili' unaotuharibu jali maisha yako.
izo ni commercial break.
MTIMUE.FULL STOP.
ATAKUHARIBIA CV.
kmm si leo kesho atatokea ukiwa na rafiki zako na ndg zako waheshima watashndwa KUKUTAMBUA VYEMA...kimbiza uyo
Tengeneza urafiki wa kaka kwa kaka nayeye,utagundua tu nini kimembadilisha,ukishagundua unaweza mshauri na kama haelekei akimaliza mkataba wake mruhusu aende au mpe notice then umrudishie hela yake iliyobaki aende,usimnyanyase naye ni binadamu alopungukiwa na utukufu wa Mungu.lane:
haya bibie hujambo?,
kuna tembele la kuoka leo kwenye lunch,
sema, nikuwekee order?
Mbona unataka kujitwishwa mizigo isiyokuhusu, mtu mzima na akili zake jamani unajitesa hivyo maana sio ndugu yako, wewe mwenyewe unatia wasiwasi unavyoonekana unammaindi si useme tu..
urafiki wa kaka kwa kaka ndo ukoje huo la aziz!!!!!