Moja kati ya udhaifu mkubwa sana kwa kiongozi ni kutotekeleza anayoyasema, hii inaonyesha dharau kwa wale anaowaeleza maneno hayo.
Mbaya zaidi yeye mwenyewe anafahamu kuwa amesema mambo mengi na kuwaahidi watanzania lakini hakuna chochote anachofanya,
Dawa yake ni ndogo sana, 2010, pale tutakapo mwuliza maswali, yeye na wenzake wagombea ubunge 'mbona maneno yenu mengi mliyosema yamebaki kuwa hadidhi' hapo ndipo tutasikia kigugumizi na kazi ni moja tu piga wote Chini akina sisiemu.
Mbaya zaidi yeye mwenyewe anafahamu kuwa amesema mambo mengi na kuwaahidi watanzania lakini hakuna chochote anachofanya,
Dawa yake ni ndogo sana, 2010, pale tutakapo mwuliza maswali, yeye na wenzake wagombea ubunge 'mbona maneno yenu mengi mliyosema yamebaki kuwa hadidhi' hapo ndipo tutasikia kigugumizi na kazi ni moja tu piga wote Chini akina sisiemu.