Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
Jamani kuna demu mkali ile mbaya nilimtokea tangu mwezi february 2011, tangu nilipoanza kumdondokea usoni amekuwa aniambia kuwa tutaongea nisubiri akipata nafasi!<br />
<br />
Leo nikiwa mitaa ya samora sina hili wa lile mara namuona demu yupo mbele yangu akitabasamu kwa tabasaaaam kaliiii! Nikamsalimia kwa mbwembwe za kiume akajibu na kusema ananjaa na hana pesa basi nikamwambia twende steers apate msosi. Wakati akiendelea kula nami nikipata soda nikakumbushia kilio changu juu yake,akaniambia "naomba nikupe ukweli" akasema siku zote alizokuwa ananiambia nisubili ni kuwa alikuwa na boyfriend jana jamaa yake kamwambia ana demu mwingine hivyo kafurahi baada ya kuniona na kuanzia leo hupo tayari kuwa na mimi. Wakati akiendelea kuongea mara huyo jamaa yake akapiga simu na kumwambia yupo chuoni kwa demu yule anamsubiri!<br />
Kwakuwa yule demu anajua kuwa mimi ninakampuni ananiomba kuja kufanya field kwa mgongo wa mapenzi,anasema ametafuta field kwingine kakosa!<br />
Hivi hili ni penzi la kweli au ni gumashi? Kinachoniuma zaidi tangu miezi hiyo amekuwa akinipa matumaini ya kuwa na mimi huku akisema tatizo yupo bize hivyo ni mvumilie akipata tu nafasi tutaunga na kuwa chombo changu bila kuniambia kuwa anajamaaa!!<br />
<br />
Moyo wangu unaanza kusita sasa kulikubali jibu lake japo nimelitafuta kwa mieze yote sita!
<br />
Leo nikiwa mitaa ya samora sina hili wa lile mara namuona demu yupo mbele yangu akitabasamu kwa tabasaaaam kaliiii! Nikamsalimia kwa mbwembwe za kiume akajibu na kusema ananjaa na hana pesa basi nikamwambia twende steers apate msosi. Wakati akiendelea kula nami nikipata soda nikakumbushia kilio changu juu yake,akaniambia "naomba nikupe ukweli" akasema siku zote alizokuwa ananiambia nisubili ni kuwa alikuwa na boyfriend jana jamaa yake kamwambia ana demu mwingine hivyo kafurahi baada ya kuniona na kuanzia leo hupo tayari kuwa na mimi. Wakati akiendelea kuongea mara huyo jamaa yake akapiga simu na kumwambia yupo chuoni kwa demu yule anamsubiri!<br />
Kwakuwa yule demu anajua kuwa mimi ninakampuni ananiomba kuja kufanya field kwa mgongo wa mapenzi,anasema ametafuta field kwingine kakosa!<br />
Hivi hili ni penzi la kweli au ni gumashi? Kinachoniuma zaidi tangu miezi hiyo amekuwa akinipa matumaini ya kuwa na mimi huku akisema tatizo yupo bize hivyo ni mvumilie akipata tu nafasi tutaunga na kuwa chombo changu bila kuniambia kuwa anajamaaa!!<br />
<br />
Moyo wangu unaanza kusita sasa kulikubali jibu lake japo nimelitafuta kwa mieze yote sita!