Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,944
anataka aprove kale
ka usemi ka binamu nyama ya hamu lol!!
kwani kakosa wanaume mpaka wewe?mpe
za uso na asikuzoee!!be a man acha kuogopa kisa ndugu!!
nimependa avatar yako :doh:
anataka aprove kale
ka usemi ka binamu nyama ya hamu lol!!
kwani kakosa wanaume mpaka wewe?mpe
za uso na asikuzoee!!be a man acha kuogopa kisa ndugu!!
nimependa avatar yako :doh:
Si aunt kakumilikisha kuwa kama muarabu, mchape tu
Wewe kaka yake .ni wakiume au mwanaume...? Unatofauti gani wanaume wengine akupe wewe kaka binamu tena kwa siri?
Ngoja kwanza.....
Una umri gani? Na arusha unaendaga kikazi ama ndo kwenu? Ni lazma ufikie kwa aunt na usikae gesti?
Umri wa mtu mzima kabisaa..around 28 na 29.huwa na lazimika kufikia kwa aunt kwa sababu ya type ya mishe zinazonipelekaga