ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Jamani naomba kuchukua fursa hii kuwapongeza Channel 5 kwa kuzidi kutuletea ubunifu mbalimbali ambao kwa namna moja au nyingine inatufanya tuburudike,
Hiki kichura ambacho mara nyingi huonyeshwa wakati wa kipindi cha kusaka waigizaji wa kipindi cha ze comedy, mara nyingi huwa kinanivunja mbavu kinoma.
Hongera sana aliyebuni hicho kitu pamoja na timu nzima ya EATV, together tunawakilisha.
Hiki kichura ambacho mara nyingi huonyeshwa wakati wa kipindi cha kusaka waigizaji wa kipindi cha ze comedy, mara nyingi huwa kinanivunja mbavu kinoma.
Hongera sana aliyebuni hicho kitu pamoja na timu nzima ya EATV, together tunawakilisha.