Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,277
- 11,775
Habarini za asubuhi wakuu,
Napata ukakasi wa nini chakufanya linapokuja kwenye swala hili,kwenye harakati za maisha nimebahatika kuwa na kiwanja changu maeneo flani hivi hapa dar,umepita mda kidogo sijakiendeleza zaidi ya kwenda kukifanyia usafi tu jirani yangu tuliekua tumepakana akaamua kuuza kipande chake na alienunua ni mganga wa kienyeji.
Sasa suala langu linakuja hapa huyu bwana anafanya dawa zake kwenye kiwanja changu ikiwemo kuwaogeshea dawa wateja zake na kurusha/kuvunja mavitu nisiyoyaelewa kwenye kiwanja changu, majirani zangu wananiambia hata mbuzi/kuku huchinjiwa hapo kusema kweli hili limeniogopesha ukitegemea me na haya mambo ni mbalimbali sasa nikaamua kukiuza kiwanja cha ajabu ni mteja napata anakuja mpaka kwenye kiwanja kukiona na tunakubaliana kabisa bei ila siku tunayopanga kuja kulipana mteja hatokei na hili limenitokea kwa mteja zaidi ya wanne ndomana nimeshtuka kuwa hiki si kitu cha kawaida..
Je, nifanyeje?
View attachment 2794250
Napata ukakasi wa nini chakufanya linapokuja kwenye swala hili,kwenye harakati za maisha nimebahatika kuwa na kiwanja changu maeneo flani hivi hapa dar,umepita mda kidogo sijakiendeleza zaidi ya kwenda kukifanyia usafi tu jirani yangu tuliekua tumepakana akaamua kuuza kipande chake na alienunua ni mganga wa kienyeji.
Sasa suala langu linakuja hapa huyu bwana anafanya dawa zake kwenye kiwanja changu ikiwemo kuwaogeshea dawa wateja zake na kurusha/kuvunja mavitu nisiyoyaelewa kwenye kiwanja changu, majirani zangu wananiambia hata mbuzi/kuku huchinjiwa hapo kusema kweli hili limeniogopesha ukitegemea me na haya mambo ni mbalimbali sasa nikaamua kukiuza kiwanja cha ajabu ni mteja napata anakuja mpaka kwenye kiwanja kukiona na tunakubaliana kabisa bei ila siku tunayopanga kuja kulipana mteja hatokei na hili limenitokea kwa mteja zaidi ya wanne ndomana nimeshtuka kuwa hiki si kitu cha kawaida..
Je, nifanyeje?
View attachment 2794250