Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 126
- 359
Hii iliwahi kunitokea siku moja nipo chumbani na binti wa kanda ya kaskazini.
Mzee mzima nimetangulia kufika Lodge na nikanunua pakti zangu kadhaa za Condom kabla yeye hajafika.
Kwakua ilikua ndo mara yetu ya kwanza kukutana kwenye uwanja wa 6×6 sikutaka kabisa kutembelea ringi sababu tulikua hatujapima hivyo ni ngumu kumuamini mtu haraka haraka.
Yule binti kiukweli kajaaliwa mzigo wa haja lakini umbile lake halikufanikiwa kuniingiza kwenye mtego wa kupiga drymana sikua tayari kujiponza kwa starehe ya muda mfupi.
Ajabu ni kwamba round ya kwanza nilipiga na kinga fresh tu ila kabla hatujaanza round ya pili akawa ananisihi kwamba nisivae Condom mana alidai nikimfanya na Condom hasikii raha.
Hali ile iliniogopesha sana mana bora hata angekua yeye ndo ananishawishi nitumie kinga lakini sio kunambia nisivae kinga.
Sasa nikabaki najiuliza huyu binti ana nia gani mana kwa mzigo aliofungasha niliamini kabisa wanaume kibao wanautolea macho hivyo uwezekano wa yeye kutupanga foleni ni mkubwa sana.
Nilikomaa na msimamo wangu na mpaka tunatoka mule chumbani sikwenda hata round moja dry mana niliona afya yangu ni muhimu kuliko majuto ya starehe ya muda mfupi.
Ungekua wewe ungefanyaje ?
Mzee mzima nimetangulia kufika Lodge na nikanunua pakti zangu kadhaa za Condom kabla yeye hajafika.
Kwakua ilikua ndo mara yetu ya kwanza kukutana kwenye uwanja wa 6×6 sikutaka kabisa kutembelea ringi sababu tulikua hatujapima hivyo ni ngumu kumuamini mtu haraka haraka.
Yule binti kiukweli kajaaliwa mzigo wa haja lakini umbile lake halikufanikiwa kuniingiza kwenye mtego wa kupiga drymana sikua tayari kujiponza kwa starehe ya muda mfupi.
Ajabu ni kwamba round ya kwanza nilipiga na kinga fresh tu ila kabla hatujaanza round ya pili akawa ananisihi kwamba nisivae Condom mana alidai nikimfanya na Condom hasikii raha.
Hali ile iliniogopesha sana mana bora hata angekua yeye ndo ananishawishi nitumie kinga lakini sio kunambia nisivae kinga.
Sasa nikabaki najiuliza huyu binti ana nia gani mana kwa mzigo aliofungasha niliamini kabisa wanaume kibao wanautolea macho hivyo uwezekano wa yeye kutupanga foleni ni mkubwa sana.
Nilikomaa na msimamo wangu na mpaka tunatoka mule chumbani sikwenda hata round moja dry mana niliona afya yangu ni muhimu kuliko majuto ya starehe ya muda mfupi.
Ungekua wewe ungefanyaje ?