toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Huu utitiri wa iphone 13 copy zinazouzwa laki 3 dar zinatoka wapi?
Kumekua na iphone 13, 13 pro max nk...ambazo zinauzwa sana huku Dar hususan mtandaoni zikiuzwa Laki 3, laki 3 na nusu hadi laki nne. Zipo kama iPhone kabisa kila kitu kasoro zinatumia android. Japo naskia kuna america mastercopy zina ios kabisa japo sina uhakika
Hizi iphone Copy za bongo wanatoa wapi?? Maana kwenye site za kichina kama aliexpress,alibaba etc zipo copy ila sio kama hizi zile za kichina na copy feki kabisa na hazina logo wala sticker za iphone
Lakini hizi za kibongo zinauzouzwa zina logo na kila kitu kama apple na iphone swali hizo simu wanazitoa wapi???
Swali jingine jee zikiharibika mfano kioo hapo inakuaje kioo chake utareplace vipi wakati sio iphone halisi?Au kitawekwa cha iphone tu ikubali?
Hizo hapo kwa picha
View attachment 2458258[
Picha ya kwanza
ATTACH=full]2458260[/ATTACH
Picha ya pili
View attachment 2458255
Picha ya tatu
View attachment 2458256View attachment 2458257View attachment 2458259
Kumekua na iphone 13, 13 pro max nk...ambazo zinauzwa sana huku Dar hususan mtandaoni zikiuzwa Laki 3, laki 3 na nusu hadi laki nne. Zipo kama iPhone kabisa kila kitu kasoro zinatumia android. Japo naskia kuna america mastercopy zina ios kabisa japo sina uhakika
Hizi iphone Copy za bongo wanatoa wapi?? Maana kwenye site za kichina kama aliexpress,alibaba etc zipo copy ila sio kama hizi zile za kichina na copy feki kabisa na hazina logo wala sticker za iphone
Lakini hizi za kibongo zinauzouzwa zina logo na kila kitu kama apple na iphone swali hizo simu wanazitoa wapi???
Swali jingine jee zikiharibika mfano kioo hapo inakuaje kioo chake utareplace vipi wakati sio iphone halisi?Au kitawekwa cha iphone tu ikubali?
Hizo hapo kwa picha
View attachment 2458258[
Picha ya kwanza
ATTACH=full]2458260[/ATTACH
Picha ya pili
View attachment 2458255
Picha ya tatu
View attachment 2458256View attachment 2458257View attachment 2458259