ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Huu si utani kabisa kwa vijana wa Kitanzania . Ni barua ya maombi kazi hii ambayo mtu timamu aliyefuzu amekaa chini na kupoteza muda kuandika, akanunua bahasha na stempu kisha kuituma kwa ajili ya kutafuta kazi.
Hivi kwa nini kama lugha ni shida kijana usiombe msaada wa waungwana wengine wasaidia hilo ?. Hali hii twaweza kweli kushindana kwenye soko la Jumuiya hizi tunazozing'ang'ania? ( Afrika Mashariki, SADC etc) .
Kazi kubwa!!!