KIFARU
Senior Member
- Apr 6, 2009
- 172
- 14
Asubuhi moja mama mwenye nyumba baada ya mumewe kwenda kazini, alimuita mfanyakazi akafanye usafi katika chumba chao,baada ya muda mfanyakazi akaita,'' mama,mama'' njoo uone, baada ya mama mjengo kufika akamuonesha kondomu aliyoiokota huko chumbani imeshatumika, mfanyakazi akamuuliza, mama hii ni nini?,mama mjengo akamuambia ebu toka huko kwani huko kwenu hamfanyi?,mfanyakazi akamjibu,''tunafanya lakini sio kama hivi mpaka ngozi inavuka'',mama mwenye mjengo akabaki duuhh