huu ushamba mwingine?

KIFARU

Senior Member
Apr 6, 2009
172
14
Asubuhi moja mama mwenye nyumba baada ya mumewe kwenda kazini, alimuita mfanyakazi akafanye usafi katika chumba chao,baada ya muda mfanyakazi akaita,'' mama,mama'' njoo uone, baada ya mama mjengo kufika akamuonesha kondomu aliyoiokota huko chumbani imeshatumika, mfanyakazi akamuuliza, mama hii ni nini?,mama mjengo akamuambia ebu toka huko kwani huko kwenu hamfanyi?,mfanyakazi akamjibu,''tunafanya lakini sio kama hivi mpaka ngozi inavuka'',mama mwenye mjengo akabaki duuhh
 
Huni mtego wa hatari. Unategemea nini mfanyakazi akitaka kuhakikisha kuwa kweli ngozi ya baba hutoka; mama mjengo hali yake itakuwaje.

In short mama mjengo hajui majukumu yake na lazima aporwe MB**
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom