Sasa wanatumia majina ya ndugu zao kwa umiliki wa mali zao, hii ni baada ya kuombwa na serikali kwasilisha hati za umiliki wa mali zao.Wengine wanatumia majina ya watoto wao,shangazi,wajomba na ndugu wengine ili mradi tu serikali isigundue.
Ndo wanafanya kazi ya kumilikisha sasahivi kisirisiri ndugu.
Kwanza vigogo wengi wa tra wamepewa posts kutokana na mfumo wa ccm na wanaccm. Hivyo ndo maana wote wamebadilisha miliki zao.hali ni mbaya sana labda magufuri aanxishe utaratibu wa ajira kwa mikataba ya miaka mitano kwa taassi kama tra,tpa,atcl,tanapa,ngorongoo creater ili nawao wawe kama eura
Ndo wanafanya kazi ya kumilikisha sasahivi kisirisiri ndugu.
Hao ndugu zao wachunguzwe, waeleze na kuonyesha wanafanya nini na hicho wanachofanya kimewezaje kuwalipa na kupata mali walizo nazo. Simple n clear
Mfano mtoto wa masamaki akutwe anamiliki nyumba ya 200 ml toka yupo darasa la 5, serikali au mtu mwenye akili atakubali kuwa ni yake huyo mtoto?Watakuwa wanajisumbua,maana what I know kila mtu mali yake ishajulikana na inajulikana,walishafanyiwa inspections na serikali tayari ina orodha ya hizo mali kama ilivyofanya kwenye orodha ya makontena, hivyo wakifanya hio transfer ndio itazidi kuharibu zaidi na intentions zao mbaya zitajulikana zaidi.
Mfano mtoto wa masamaki akutwe anamiliki nyumba ya 200 ml toka yupo darasa la 5, serikali au mtu mwenye akili atakubali kuwa ni yake huyo mtoto?