Edmond
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 359
- 54
Ndugu wana jamii,
Juzi nilienda kulipia road licence ya gari langu, cha kushangaza nikaambiwa nilipie na fire extinguisher Tzs 35,000 cha ajabu nilipatiwa sticker pasipo kuwa na mtungi, kwanza mtungi wa fire ninao, na sidhani sticker pekee ni Tzs 35,000, je huu sio wa mchana?, kwanini serikali yetu inazidi kutulundikia mzigo mkubwa wananchi wake?, na je hii dhana ya maisha bora kwa kila mtanzania itafanikiwa kweli kwa mwendo huu?,
Wana bodi naomba kuwakilisha,
Juzi nilienda kulipia road licence ya gari langu, cha kushangaza nikaambiwa nilipie na fire extinguisher Tzs 35,000 cha ajabu nilipatiwa sticker pasipo kuwa na mtungi, kwanza mtungi wa fire ninao, na sidhani sticker pekee ni Tzs 35,000, je huu sio wa mchana?, kwanini serikali yetu inazidi kutulundikia mzigo mkubwa wananchi wake?, na je hii dhana ya maisha bora kwa kila mtanzania itafanikiwa kweli kwa mwendo huu?,
Wana bodi naomba kuwakilisha,