serikali ya halmashauri ya wilaya ya Ludewa, leo ilihagiza wafanya biashara wote kufunga sehemu zao za biashara baada ya kugundua kwamba zoezi la kuazimisha miaka ya 50 ya uhuru wa Tanzania bara halitakuwa na maudhurio mazuri. wilaya ya Ludewa leo ilkuwa na ugeni mkubwa kimkoa kwani sherehe hizo za uhuru leo zilikuwa zikifanyika wilayani ludewa kimkoa, askari walikuwa wakipita duka hadi duka, bar hadi bar kuakikisha watu wanafunga biashara zao na kuhudhuria sherehe hizi ambazo waudhuriaji walikuwa watoto wa alahiki pamoja na wafanyakazi wachache wa serikali. ningewaonyesha picha lakini kwa kuwa ni aibu sana tuache tu