Kiona
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 933
- 240
Nauliza hivi!
1.Uadilifu wa viongozi wa chadema uko wapi?
2.Je huu sio ufisadi? au ufisadi ni EPA,MEREMETA na DOWANS?
3.Hivi unapo wadanganya watanzania kuwa umerudisha gari wakati nyuma yake umelichukua kimya kimya inaleta picha gani?
4.Hivi kunautofauti gani kati ya mwamvita makamba aliyejenga nyumba hapa TZ na MBowe aliyekwenda kununua nyumba nje ya nchi ?
5.Hivi hatari ya kuwaamini viongozi kama hawa ambao machoni niwasafi,moyoni wanaroho ya mbwa mwitu mwisho wake itakuwaje?
6.Hivi kunaulazima gani kuweka walinzi kanisani anakosali mchumba wa Dr.slaa kwa kutumia ruzuku ya chama?
7.Hivi CHADEMA watachukuaje nchi,ikiwa pesa iliyoazimishwa na kamati kuu baada ya uchaguzi mkuu wa 2010 kuwa asilimia 25% ya ruzuku yote kwa kila mwezi iwekwe kwenye account ya uchaguzi kwaajili ya 2015,lakini mpaka sasa hakuna hata shillingi zote zimechukuliwa na wajanza wa chache?
Naomba kiongozi wa CHADEMA yeyote yule aliyemo humu JF aje akinzane na ukweli huu...ili tuweze kuweka data kamili hapa.
NI mwanzo tu wa MWANAHALIS kueleza uozo wa CHADEMA,tusubiri makala ijayo.
Ulivyouliza tu hapo nimegundua wewe ni mla rushwa na mnafiki manake unapiga vita wapiga vita.
In red uliza uambiwe hiyo nyumba kajenga nani acha kuropoka. Nyumba imejengwa na Quentin na ni fisadi la ki Australia ambalo makamba ametumia madaraka likapata tenda ya kupima mafuta bandarini na kuyawekea dawa. Alikuwa mkurugenzi wa SGS na Makamba aliruhusu mwanae afunge ndoa bomani na kafiri nishangaa kuona na sehemu ya kuswalia ipo ilhali ndani anaishi na kafiri. Hapo ndo ujue CCM linapokuja ufisadi hata imani za kidini zinawekwa pembeni.