Huu ndio uongo wa Padri Mapunda kwa CCM na mapenzi yake Chadema

Huwezi kumwelewa Padre Mapunda mpaka usome hotuba ya Nyerere aliyoitoa kwa masista wa Maryknoll wa huko Marekani miaka ya 70. Alipomaliza hotuba ile masista wale walitoa machozi kwa sababu ilikuwa na ukweli wa kusikitisha. Nani anataka kusikia habari za Yesu wakati ulimwengu huu umejaa uonezi na dhuluma? Si afadhali kufa tu huku ukisimamia "ukweli" kama alivyofanya Yesu mwenyewe? Hotuba ya Nyerere iliyowaliza Maryknoll sisters inaitwa "Church and Society" au kwa kiswahili "Kanisa na Jamii". Kanisa liliitafsiri hotuba ile kwa liugha mbalimbali na kuitawanya kwenye makanisa yake duniani waisome na kuitafakari. Sisi tukae tu na kuimba uchochezi. Inapatikana kwenye moja ya mavitabu yake ya hotuba zake. Ni vizuri kuisoma hotuba kama hiyo utaelewa kwa nini Padre Mapunda anakemea mambo kama anavyofanya.
Mkuu, Asante sana yaani ni fupi na ya kueleweka! Mimi hiyo hutba ya mtoa uzi nimeisoma hadi alipoanza kulaumu kiongozi wa kiroho hana haki kimwili! As if uongozi wa mwili aachiwe ibilisi bila yeye kufahamu mwili unapokuwa dhaifu na roho pia inadhoofika! Tumtie moyo Fr Mapunda!
 
Ni ajabu kwa padri kusimama katika altare kanisani na kusema uongo huku akiwa ameshika Biblia Takatifu, lakini pia ni dhambi zaidi kuhubiri uzushi unaolenga kuwachonganisha watu ili wafarakane kwa namna yoyote.

Harakati za Mama Salma Kikwete, Ridhiwani Kikwete na Mohammed Kikwete kugombea nafasi hizo za kisiasa katika CCM hazikuanzia mikononi mwa Rais Kikwete wala ndani ya NEC isipokuwa wilayani wanakotoka.

Zilianzia Lindi Mjini na Bagamoyo walikoomba kugombea nafasi hizo baada ya kujipima wenyewe, kisha wakajiridhisha kuwa wanakidhi masharti ya Ibara ya 14(1) – (3) ya Katiba ya Chama Cha Mapinduzi ya Mwaka 1977 Toleo la 2010 inayosema ifuatavyo:

Hivi kweli haya maneno yametoka kichwani mwa mtu ambaye hajawahi kupelekwa milembe?!! Katika yote uliyoyaandika nimeona tu walau nami nikurupuke na hii mistari michache tujaribu kuitafakali kwa pamoja. Nina imani mpaka 2015 tutakuwa tumesoma mengi sana kupitia jamvi hili.
Naona uchovu mie!
 
Back
Top Bottom