Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
V8 kwa toyota ni nembo ya prestige , sio gari ya bei rahisi , anachozungumzia hapo anamanisha zote ni gari za bei ghali!Eti zote ni v8 , vipi zingekuwa zote ni IST isingekuwa habari eee
Sent using Jamii Forums mobile app
Marekani hawana ujenzi wa shule, hosps, barabara, vyuo n.kMarais wote duniani ni kawaida sana hili,
Ni kawaida kwa rais kuwa na wanausalama,viongz wanaomsindikiza kwenda pengine kwenye tukio husika.
Marekani rais wao alipokuja mbona hamkwongea na walishuka hadi na ma gar yao?
Ukiachana tu na USA,
Yapo mataifa tu hapa Africa ambayo pia ni kawaida sana kwa vitu kama hivi...
So tusishangae sana.
Hata wewe ukiambiwa leo uwe rais lazima ufate Kitu kinaitwa PROTOCOL
Raisi ni Raisi tuu , huwez kuwa Sawa na raisi , ni halali yake sababu za kiusalama
Wewe ni zwazwa, huelewi kitu!Unateseka, kwani ni zake zote. Ila pole ulikuwa wapi? Au ni jobless
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
Kwa nini uhangaike kuandika yote hayo mkuu.Marais wote duniani ni kawaida sana hili,
Ni kawaida kwa rais kuwa na wanausalama,viongz wanaomsindikiza kwenda pengine kwenye tukio husika.
Marekani rais wao alipokuja mbona hamkwongea na walishuka hadi na ma gar yao?
Ukiachana tu na USA,
Yapo mataifa tu hapa Africa ambayo pia ni kawaida sana kwa vitu kama hivi...
So tusishangae sana.
Hata wewe ukiambiwa leo uwe rais lazima ufate Kitu kinaitwa PROTOCOL
Maneno baadhi nisingeyapa haki yake yakutumika,,bora yametumika nayo yakajihisi yapo dunia😄Kwa nini uhangaike kuandika yote hayo mkuu.
Ungeandika kwa kifupi sote tungeelewa unachosema.
Kwa mfano ungeandika hivi:
"Kuwa na msafara wa aina hiyo ni alama nzuri ya kupendwa sana na watu anaowaongoza nchini mwake."
Hii ingetosha kabisa kufikisha ujumbe wako.
Unakuwa msafara mkubwa ili iweje? Umesoma mada hapo juu ukaelewa vizuri kweli? 🤒nchi nyingine, rais kama yupo mkoa anaofanyia kazi mfano dar , gari hupunguzwa hadi 10 hivi, msafara huwa mkubwa anapokuwa nje ya mkoa ana safari ndefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Atumie vits na boda bodaKwa taarifa yako kama hujui huyo ndo Rais anaelindwa zaidi Africa.Unashangaa V8 ulitaka atembelee nini?Ndio mojawapo ya matumizi ya kodi zetu.
Leo Msafara wa Rais wa wanyonge anayejali kodi za wananchi sijapata uona tangu nizaliwe na Nchi nilizowahi tembelea.
Nimehesabu Magari yamefika 53.
Zote ni V8.
Noma sana.
View attachment 1390050
Uyo ni kama mkuu wa mkoa tuMbona Rais Sheni wa Zanzibar magari yake ni machahche?
Huyo moga sana ,anaogopa kivuli chake
Ni kweli kabisa!Maneno baadhi nisingeyapa haki yake yakutumika,,bora yametumika nayo yakajihisi yapo dunia😄
Vinapita anganiHivyo vifaru vinapita barabarani au vinapita wapi? Au na wew ndiyo walewale ( Mudawote)
Sent using Jamii Forums mobile app
ThreadWatu kama nyie ndio mnaishushia hadhi JF. What is this??
Baelezee mkuu. Ndio maana watanzania tunashushwa thamani sana. Tunapenda kutoa hoja kabla ya kuzitafakari..Marais wote duniani ni kawaida sana hili,
Ni kawaida kwa rais kuwa na wanausalama,viongz wanaomsindikiza kwenda pengine kwenye tukio husika.
Marekani rais wao alipokuja mbona hamkwongea na walishuka hadi na ma gar yao?
Ukiachana tu na USA,
Yapo mataifa tu hapa Africa ambayo pia ni kawaida sana kwa vitu kama hivi...
So tusishangae sana.
Hata wewe ukiambiwa leo uwe rais lazima ufate Kitu kinaitwa PROTOCOL