Kwa hiyo leo unajilinga nisha na marekani?Marais wote duniani ni kawaida sana hili,
Ni kawaida kwa rais kuwa na wanausalama,viongz wanaomsindikiza kwenda pengine kwenye tukio husika.
Marekani rais wao alipokuja mbona hamkwongea na walishuka hadi na ma gar yao?
Ukiachana tu na USA,
Yapo mataifa tu hapa Africa ambayo pia ni kawaida sana kwa vitu kama hivi...
So tusishangae sana.
Hata wewe ukiambiwa leo uwe rais lazima ufate Kitu kinaitwa PROTOCOL
Ni nembo ya nchi, kielelezo cha taifa sio mtu mdogo.Utetezi dhaifu.
Vipi mshindi ameshapatikana?Na wewe kazi yako si kukosoa tu?
Basi kila mmoja afanye kazi yake mwisho wa mwaka mshindi atapatikana.
Mungu mtu na bado akadanja fasta.Leo Msafara wa Rais wa wanyonge anayejali kodi za wananchi sijapata uona tangu nizaliwe na Nchi nilizowahi tembelea.
Nimehesabu Magari yamefika 53.
Zote ni V8.
Noma sana.
View attachment 1390050
Ni nembo ya nchi, kielelezo cha taifa sio mtu mdogo.
Kila siku unaibiwa wewe tu hujioni kama una kasoro?.Hamna jizi la kura ambalo ni nembo ya nchi.