Huo ndio mtazamo wa wana ccmMimi sielewi...ina maana mtu ukimkosoa Magufuli ndo hutaki afanye kazi yake?
Ukimkosoa ndo unamzuia kufanya kazi yake?
Huyo Magufuli yuko juu ya kila kitu hata kukosolewa/ kujadiliwa?
Lazima mtoane macho maana laana ya ubaguzi haiishii hapo tuHivi bashe mbona hamuiti Magufuli raisi, anamuita ndugu magufuli, au na yeye ni kama wale ambao hawamtambui?
Hawezi kuwaacha kwa kuwa ni wanachama waandamizi wa ccmOmbi langu Magufuli aangalie mbele aachane na hawa waathirika wa Urais.
Umeonaeee...Kiukweli CCM ni mchanganyiko wa vyama vingi tofauti ndani yake
kinachowaunganisha ni kuwa madarakani tu
siku wakitoka watabaki vipandevipande....
ndo maana kuna vision tele
kila mtu na yake.....na wafuasi nao kila mtu na kundi lake....
Sio culture ya CCM kumkosoa Rais
Sababu hata Magufuli mwenyewe hakupatikana katika open contest
Sasa sababu wanajua ile mandate ya Magufuli sio genuine
kila anaemkosoa wanaona 'kuna hatari' ya kuinfluence uasi...
hilo ndo linalowasumbua.....na sio Magufuli tu
kina Kolimba walimkosoa Mkapa....Kambona alijaribu kumkosoa Nyerere
Mrema kumkosoa Mwinyi...the list is endless.....kukosoa sio culture ndani ya CCM
Ila kukosoa ni culture ya wapi? Ni wapi au nchi gani ambapo Viongozi hukosoa vyama vyao wenyewe kwenye vyombo vya Habari?
Nchi nyingi tu watu hukosoa vyama vyao hadharani
nchi karibu zote za demokrasia hilo ni kawaida....ni utamaduni watu kukosoana...hadharani bila kuogopa
Kiukweli CCM ni mchanganyiko wa vyama vingi tofauti ndani yake
kinachowaunganisha ni kuwa madarakani tu
siku wakitoka watabaki vipandevipande....
ndo maana kuna vision tele
kila mtu na yake.....na wafuasi nao kila mtu na kundi lake....
Sio culture ya CCM kumkosoa Rais
Sababu hata Magufuli mwenyewe hakupatikana katika open contest
Sasa sababu wanajua ile mandate ya Magufuli sio genuine
kila anaemkosoa wanaona 'kuna hatari' ya kuinfluence uasi...
hilo ndo linalowasumbua.....na sio Magufuli tu
kina Kolimba walimkosoa Mkapa....Kambona alijaribu kumkosoa Nyerere
Mrema kumkosoa Mwinyi...the list is endless.....kukosoa sio culture ndani ya CCM
Yakikuzwa wwe unaathirika na nni?Yanakuzwa haya mambo
Ongea ukweli Lowasa hakuongoza kamati hiyoNdugu Bashe, ile kamati ya bungeni kuhusu mambo Foreign Affairs SI yalikuwa Chini ya Lowasa. JEE aliyakemea madudu hayo uyajuayo?
Hah hah hah haa watumbuliwa majipu mmejitozekeza hazarani. Na bado mtaanza kushika mabango na kuingia barabarani, Maja atawambia mpigwe tu maana hamna namna.Bashe nae aache unafiki, sisi tumemuelewa Membe