Utawachukia sana wasema kweli kwa kupenda uongo.Yaani wewe hata MUNGU akisema ukweli kuhusu ccm.Utampinga kama unavyompinga Bashe.Ongera Bashe kwa kuona tatizo na kuusema ukweli wakiyatendea kazi wananchi tutawaamini.Ila jua wapenda uovu watakuchukia kwa huu ukweli uliouongea.Mungu akulinde.
Huo ndiyo ukweli ambao CCM-Nape asingependa kuusikiaKwahiyo Lowasa ni powerfull hakuna wa kum'defeat?
Mkuu wala isikusumbue sana. Ni kawaida kabisa kwa binadamu kuyajongea mambo tukiwa na mitazamo miwili tofauti na hata angalizo mara nyingi huwa pia lina mitazamo tofauti kati ya binadamu na binadamu. Kwangu ninachokiona kama ni YES inaweza ikawa kwako ni NO.Mkuu Ng'wamapalala hua unajua Kingereza na kukiandika vizuri kweli, shida moja hua inanisumbua hua ni hii, mbona comments zako nyingi zinazohusu nchi hua huonekani kama ni msomi? hii kitu hua inanisumbua sana mkuu.
Big up bro..! Umeshtukia dili mapema..SEMA KWELI KAKA,NA HIYO KWELI ITAKUWEKA HURU.Chanzo: TANURU LA FIKRA ZA CCM by Hussein Bashe
kwenye siasa kuna mbinu nyingi, hapo kuna mawili kwa siasa zetu za bongo, kwanza inaweza ikawa kweli ana dhamira ya dhati lakini kwa namna nyingine inaweza ikawa ni mbinu ya kuwa-win wananchi ili wawe upande wake mwisho wa siku anaingia ulingoni kwa kasi ya ajabu. All in all, jamaa amejitahidi kuonyesha kile ambacho watu wengi huwa hawakiangalii
Hili nalo neno, mapambano naona yanaendelea maana wanasiasa wetu siasa ndio sehemu ya ajira yao hivyo hata kuendelea kujibizana ni sehemu ya kazi pia. Ukiona wanajibizana hivi ujue hata kwenye vikao vya ndani huwa hakuna nafasi ya kutoa changamoto mbalimbali na ndio maana wanakimbilia kwenye media (tunashukuru hata hivyo kuna vitu tunajifunza)Nao UVCCM wakamjibu hivi!