miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
kwa sasa hana demu labda ... Lakini haina maana akishaoa ndiyo hata penda wala kupendwa.. Je akitongozwa atakuwa anaendelea kutoa taarifa?kwani yupo na mademu wengine tena? No sidhani jamaa anaonekana mtu safi....:frown: