shikwashikwa
Senior Member
- Jun 5, 2015
- 188
- 46
- Thread starter
- #61
[ QUOTE=Kaunga;13190145]Mwaya ongea na mchumba wako, mwambie asimuamini best wake 100%. Usimpe details lkn make it in a way kwamba now that she is going to be a wife aevaluate uhusiano na kuuredefine ili 'usiingiliwe na ibilisi'.
Kunyamaza totally kutakuletea tatizo. Na next time akiomba appointment record hiyo conversation na ikiwezekana atakachokuambia just in case.
Msingi wa uwazi na kuaminiana kwenye ndoa ni muhimu. Angekuwa sio rafiki yake ungeiua bila kumwambia. Lkn kwa vile ni rafiki tena ni chakaramu huwezi jua motives zake. Anaweza kukugeuzia kibao.[/QUOTE]
Hilo nalo neno ahsante mkuu ngoja nianze hivyo najua atataka kuchimba mambo kiundani na hapo lazima atamface shost ake, afu baadae shoga ake lazima atanitafuta hapo ndio nitakapo mrecord
Kunyamaza totally kutakuletea tatizo. Na next time akiomba appointment record hiyo conversation na ikiwezekana atakachokuambia just in case.
Msingi wa uwazi na kuaminiana kwenye ndoa ni muhimu. Angekuwa sio rafiki yake ungeiua bila kumwambia. Lkn kwa vile ni rafiki tena ni chakaramu huwezi jua motives zake. Anaweza kukugeuzia kibao.[/QUOTE]
Hilo nalo neno ahsante mkuu ngoja nianze hivyo najua atataka kuchimba mambo kiundani na hapo lazima atamface shost ake, afu baadae shoga ake lazima atanitafuta hapo ndio nitakapo mrecord