Humphrey Polepole ni nani?

Sikupingi, and hayo unayajua wewe mwenye upeo huo, ila nakuhakikishia kuwa mwananchi wa kawaida wa kule Namtumbo ndani kabisa anaelewa tofauti kabisa kuwa UKAWA wamekimbia bungeni (ndiko katiba inakotengenezwa) na yupo mtaani anafanya fujo
Mjadala wa KAtiba uko Bungeni, Maamuzi yote yako Bungeni. UKAWA wako sahihi kabisa na hasa kwa kuzingatia sheria ilivyo. Hawataendelea na kikao maana hawana tumaini la kutoa maamuzi bila UKAWA. Huwezi kuendelea kujadili na kundi la watu ambao hawako tayari kusikiliza. Wamejipanga kupinga makofi na vigelegele bila sababu.

Wanazomeya bila sababu. Wanaingiza hayo ya ukabila kama yalivyotanjwa na Lipumba. Mbona UKAWA haijataja wasomali walioko CCM?
 
Polepole ni hazina inayopaswa kulindwa , anapambana kisawasawa na upotoshaji unafanywa na wapuuzi wasiyoitakia mema nchi hii. Bila shaka ameshajenga uadui kati yake na majambazi hawa. Mungu amlinde daima.
Mkuu, hata mie nahofia maisha yake. Hazina hii kwa taifa.
 
Sikupingi, and hayo unayajua wewe mwenye upeo huo, ila nakuhakikishia kuwa mwananchi wa kawaida wa kule Namtumbo ndani kabisa anaelewa tofauti kabisa kuwa UKAWA wamekimbia bungeni (ndiko katiba inakotengenezwa) na yupo mtaani anafanya fujo

Yap! ni hivi, Nchi ikiwa ndogo pia kuna faida yake. Mtaji mkubwa kabisa wa UKAWA ni Z'bar, to be precise, Pemba! Z'bar ufahamu na misimamo ya kisiasa iko juu kuliko Tanganyika. Kwa UKAWA huo ni mtaji mkubwa sana na bahati nzuri watu kama Lukuvi wameongeza donda huko Z'bar. Fahamu bila 2/3 ya Z'bar katiba haipiti.

Sasa utawadhalau UKAWA kwa lipi? Wameshapata turufu. Waache CCM wapige vigelegele, wachungaji na Mashekh uchwala waunge mkono, wamo na ma-profesa hovyo pia wanaunga mkono na kujidai eti wana busara ya ku-analyse takwimu za Warioba. Lakini mwisho wa yote ni 2/3!

Hata hivyo hiyo mijadala ya Bunge bila UKAWA ina faida gani maana 2/3 inayotakiwa kupitisha vifungu haipo bungeni tena! Halafu mtu unakuja hapa na kuanza kuwadhalau UKAWA. Ni mengi yanayopita bila wannchi wa remote kufahamu.

Bunge gani hilo ni cartoon ya TOM & JERRY!
 
Mjadala wa KAtiba uko Bungeni, Maamuzi yote yako Bungeni. UKAWA wako sahihi kabisa na hasa kwa kuzingatia sheria ilivyo. Hawataendelea na kikao maana hawana tumaini la kutoa maamuzi bila UKAWA. Huwezi kuendelea kujadili na kundi la watu ambao hawako tayari kusikiliza. Wamejipanga kupinga makofi na vigelegele bila sababu.

Wanazomeya bila sababu. Wanaingiza hayo ya ukabila kama yalivyotanjwa na Lipumba. Mbona UKAWA haijataja wasomali walioko CCM?
Kweli kabisa mkuu, UKAWA hawakujitoa kwa sababu ya kuzidiwa hoja bali matusi na vitisho dhidi ya yao tulikuwa tukishuhudia wenyewe.
 
Yap! ni hivi, Nchi ikiwa ndogo pia kuna faida yake. Mtaji mkubwa kabisa wa UKAWA ni Z'bar, to be precise, Pemba! Z'bar ufahamu na misimamo ya kisiasa iko juu kuliko Tanganyika. Kwa UKAWA huo ni mtaji mkubwa sana na bahati nzuri watu kama Lukuvi wameongeza donda huko Z'bar. Fahamu bila 2/3 ya Z'bar katiba haipiti.

Sasa utawadhalau UKAWA kwa lipi? Wameshapata turufu. Waache CCM wapige vigelegele, wachungaji na Mashekh uchwala waunge mkono, wamo na ma-profesa hovyo pia wanaunga mkono na kujidai eti wana busara ya ku-analyse takwimu za Warioba. Lakini mwisho wa yote ni 2/3!

Hata hivyo hiyo mijadala ya Bunge bila UKAWA ina faida gani maana 2/3 inayotakiwa kupitisha vifungu haipo bungeni tena! Halafu mtu unakuja hapa na kuanza kuwadhalau UKAWA. Ni mengi yanayopita bila wannchi wa remote kufahamu.

Bunge gani hilo ni cartoon ya TOM & JERRY!
Mkuu, nasikia wanataka kurekebisha upatikanaji wa hiyo 2/3 kwa hao waliopo bungeni.
 
Mkuu, nasikia wanataka kurekebisha upatikanaji wa hiyo 2/3 kwa hao waliopo bungeni.

Hawawezi maana hiyo 2/3 iko kwenye sheria. Labda sasa wasubiri Bunge la kawaida litakapokaa. Kanuni wanaweza kupindisha na je, kura ya maoni itakuwaje? Au nayo watabadili tena? Kumbuka sheria hiyo ilivyowasumbua upande wa Z'bar wakati wanakwenda kuitetea, hadi ikachanwa. Kwa ujumla ni busara ndogo ya wajumbe iliyosababishwa na Rais mwenyewe. Aliteua wajumbe ili wakashindwe kujadili.

Hawa wanaodhani akili imejaa kumbe ni wajinga tu, Unawezaje kupanga mchezo na sheria zake, ukasema mfano, tuanze riadha, halafu ukizidiwa unasema tubadili sheria ili mchezo uwe ni rugby. Watu waanze kukabana koo na miguu!
 
Tunapozungumzia wazalendo na watu wenye KARAMA ya Mungu huyu jamaa pia yumo.

Hakika anayachambua na kuyaweka bayana kabisa masuala hususani yale ya kwenye Rasimu.

Jamaa ni mtu wa pekee kabisa,hakika anajua.Mungu amsaidie kwakweli.

Kama kweli una mtazamo CHANYA na haujajazwa MANENO utamwelewa sana bwana Polepole.
 
Jamaa alikuwa ni mjumbe katika tume ya Warioba. Hakika dhamira aliyonayo na anavyoichambua rasimu utatambua tu wabunge wanajadili vitu ambavyo hawavielewi.
 
Na hivi ndivyo vijana wa nchi mnavyotakiwa kuwa na si kufuata harufu ya wanakopika pilau! Mwigeni kijana mwenzenu na muwe wakweli na wawazi ili kuikomboa nchi yenu kutoka kwa hao wakoloni weusi. Polepole awe role model wenu kwa uzalendo uliopitiliza au mnawasubiri kina Kingunge wawaamulie mustakabali wa serikali muitakayo ilihali hawatakuwepo kwa miaka 2 ijayo?.

Na sijui wabunge wa CCM wamepitiwa na pepo gani kiasi kwamba wengine wanatutishia kuingia mstuni ikikubaliwa serikali 3 na vyombo vya usalama vimekaa kimya tu kana kwamba ni ruksa. Hebu mamlaka ziamke zilikolala ziwashughulikie hawa vipasa sauti vya jeshi letu ambalo halina muda wa kushughulika na siasa. Kauli za kuchochea uasi ni uhaini. Kwanini wabunge na mawaziri wanauchochea uasi wangalipo bado? Wanasheria pamoja na Polepole nisaidieni majibu.
 
Wasije wakamwakyembe tu au wakamvungi manake nina uhakika mpaka sasa atakuwa amepata changamoto nyingi toka kwa maintarahamwe
 
Jana nilimsikiliza kwa makini sana channel 10 kweli ana uwezo mkubwa wa kupambanua mambo pia nashauri kama inawezekana aende bungeni kama kanuni zinamruhusu atoe zaidi ufafanuzi juu ya maswala yanayojiri na kufunga mjadala huu wa serikali 3 au 2
 
Tunapozungumzia wazalendo na watu wenye KARAMA ya Mungu huyu jamaa pia yumo.

Hakika anayachambua na kuyaweka bayana kabisa masuala hususani yale ya kwenye Rasimu.

Jamaa ni mtu wa pekee kabisa,hakika anajua.Mungu amsaidie kwakweli.

Kama kweli una mtazamo CHANYA na haujajazwa MANENO utamwelewa sana bwana Polepole.
Absolutely right ... I like to listen to his comments
 
Huyu jamaa kasoma na kuelimika kweli kweli point zake zinachoma mitima nyongo ya wabunge wa bunge la katiba waliokwenda kukusanya laki tatu kila mwezi kukombolea magari yao Be Foward
 
That one is a genious, siku zote anajua anachokifanya na angekua mtu wa kupenda sifa watu wangeshamskia kwenye siasa but he keeps a low profile ila ukipata nafasi ya kufanya nae kazi utajua kwamba ni kichwa tofauti sana..
 
Back
Top Bottom