Humphey Polepole ateuliwa kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu itikadi na uenezi

Kuhubiri mabadiliko na kufanya mabadiliko ni vitu viwili tofauti.Tulihubiriwa Ccm mpya inakuja,Nilichoona mimi ni ccm ile ile kama wimbo wao ulivyo tu.Nini kimebadilika?
Pole pole na Rodrick Mpogolo unaweza kuiita ccm mpya?"Hapana"Ni ile ile.
Tuliambiwa wasaliti wataisoma namba,Msaliti namba moja wa chama alikuwa Nchimbi.Leo ni balozi"Ccm ni ile ile.Mnabisha?Kama unabisha nionyeshe hiyo ccm mpya.

Kwani wewe unataka nini? Waachie wenyewe CCM yao. Kama wewe huoni upya wao wenyewe wanauona. Inawezekana wewe upya uutakao ni watu, lakini wenyewe upya wao wanaotaka ni mabadiliko na upya katika fikra. Mtu anaweza kuwa yule yule akabadilika fikra na mtu aaweza kuwa mpya akawa na fikra kama yule aliyepita. Upya muda mwigine ni relative!
 
Namsubiri Polepole kwenye kampeni ya kupigia kura Katiba Inayopendekezwa. Nitajitahidi kwenda kumsikiliza mwenezi wa chama ananiambia nini kuhusu katiba. Hivi hawa watu hawana hata hofu ya Mungu? Walikula kodi zetu kukusanya na kuandika rasimu ya Katiba ya Warioba sasa Warioba mwenyewe na wenzake wametugeuka. Hivi hakuna uwezekano wa kurudisha chenji yetu?
 
Polepole aliwahi tokwa povu eti yeye hana chama na anachozungumza ni kwa maslahi ya taifa...


[HASHTAG]#JFmsitoetaarifazangu[/HASHTAG]
 
polepole ... hii inakaa vizur at least sasa atahudumu sehemu ambayo rangi Yake (itikadi ) itakuwa dhahiri kuliko kuvaaa joho la una harakati wa kimaslahi .....lakin mkuu CCM Tabora vijana wako tumejenga ngome imara tangu enz na enz kuna nn tunanyima mpk nafasi za kichama eeeh baba
 
Polepole aliwahi tokwa povu eti yeye hana chama na anachozungumza ni kwa maslahi ya taifa...


[HASHTAG]#JFmsitoetaarifazangu[/HASHTAG]
Huu UNAFIKI wa wanasiasa wa bongo ni wa kiwango cha juu sana kiasi cha kuweza kusababisha tetemeko kama lile la Kagera
 
Maana yake NEC hawakuafiki pendekezo la WASSIRA kupewa hicho cheo?
-Nyienyie mlisema Wassira mzee, haya kijana Humphrey Polepole huyu apo NEC imewasikiliza.
-Mi binafsi nampongeza sana Polepole.
-Steven Wassira apewe ukuu wa mkoa wa Mara, huko huko kwa wabunge wa CHADEMA akina Ester Bulaya, John Heche, Ester Matiko na Marwa Rioba.
 
Wahooooo!!!!!! Sasa muda umefika rasimii kutembea kifua mbele,,,, safi sana,,, Uwezo wako upele upo kwa mkunajii,,, namatumain hutatuangusha,
 
Ni katika nafasi ya KATIBU wa itikadi na uenezi.
Kila LA kheri Mh polepole kwenye majukumu mapya ya chama
Akumbuke tu kuwa sasa atakuwa anapaswa kuwa anauharifu umma kuwa kwa sasa hatuna kipaumbele cha katiba mpya.
=======
Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kimemteua Ndg Humphrey Polepole kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi.

[/QUOTE
Ni katika nafasi ya KATIBU wa itikadi na uenezi.
Kila LA kheri Mh polepole kwenye majukumu mapya ya chama

=======
Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kimemteua Ndg Humphrey Polepole kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi.

 
-Nyienyie mlisema Wassira mzee, haya kijana Humphrey Polepole huyu apo NEC imewasikiliza.
-Mi binafsi nampongeza sana Polepole.
-Steven Wassira apewe ukuu wa mkoa wa Mara, huko huko kwa wabunge wa CHADEMA akina Ester Bulaya, John Heche, Ester Matiko na Marwa Rioba.
Duh itakuwa shida kwakweli
 
Back
Top Bottom