"HUMANZEE" Kiumbe wa ajabu anayetokana na wazazi Binadamu na Sokwe

Arnold Kalikawe

Senior Member
Sep 28, 2016
146
340
Kwa Mujibu wa nadharia za kisayansi, Binadamu na Sokwe ni wanyama ambao wanatoka katika Familia za karibu sana katika Ufalme wa Animalia. Zaidi ya DNA zetu zinafanana kwa zaidi ya asilimia 95%. Hivyo kuwafanya hawa kuwa ndugu zetu wa karibu kabisa.

Vile vile katika historia tunaambiwa kwamba Binadamu asilimia tumetokana na Sokwe kwa Mujibu wa kisayansi. Kupitia hoja hizi mbili za DNA na Human Evolution kuna maswali mengi yamepatikana kutaka kujua kama kunawezakana hawa viumbe wawili wakaweza kuzaliana na kutengeneza Hybrid ya Binadamu na Sokwe, kwa sababu tunaona wanyama kama Farasi na Punda wameweza kutengeneza Hybrid zao, wanyama kama Simba na Tiger pia Hybrid zao zipo. Vipi kuhusu Hybrid ya Binadamu na Sokwe.

Katika pitapita zangu nikakutana na hii video.

 
Manii ya binadamu haiwezi tungisha mimba kwa mnyama, ukifanya ngono na mbwa na uka- release manii yako ni uchafu, haifanyi Kazi yoyote.
Na binadamu tunafanana na sokwe kimaumbile tu ila ki-DNA tuko mbali nao sana.
Panya ana ukaribu na binadamu kuliko sokwe.
 
Manii ya binadamu haiwezi tungisha mimba kwa mnyama, ukifanya ngono na mbwa na uka- release manii yako ni uchafu, haifanyi Kazi yoyote.
Na binadamu tunafanana na sokwe kimaumbile tu ila ki-DNA tuko mbali nao sana.
Panya ana ukaribu na binadamu kuliko sokwe.
Unauhakika!?
 
Unauhakika!?
Mwanadamu hawezi mtia mimba hayawani, na hayawani hawezi mti mimba binadamu kwasababu ya vinasaba.
Kuna vitu vinafanana kimaumbile ila KI-DNA viko mbali kabisa.
Ukimuona kenge unaweza Dhani ana udugu na Mamba ila ki-DNA Mamba ana udugu na kuku, Njiwa , Didi ama Njogoma kuliko kenge.
Hawana ukaribu kabisa, ila kimuonekano wanafanana sana.
 
Mwanadamu hawezi mtia mimba hayawani, na hayawani hawezi mti mimba binadamu kwasababu ya vinasaba.
Kuna vitu vinafanana kimaumbile ila KI-DNA viko mbali kabisa.
Ukimuona kenge unaweza Dhani ana udugu na Mamba ila ki-DNA Mamba ana udugu na kuku, Njiwa , Didi ama Njogoma kuliko kenge.
Hawana ukaribu kabisa, ila kimuonekano wanafanana sana.
Samahani kwa kutokuwa specific,

Na binadamu tunafanana na sokwe kimaumbile tu ila ki-DNA tuko mbali nao sana.
Panya ana ukaribu na binadamu kuliko sokwe.
Unauhakika na hili??
 
sasa nyote mnamuuliza una uhakika? una uhakika? kama yey ni tabibu mbona mnataka kuumbuka? mnataka tukubaliane na maandiko yenu nyie wenyewe mshathibitiaha hilo
 
Back
Top Bottom