Human being living in 21st centuary is like running new software on ancient/old hardware

kali linux

JF-Expert Member
May 21, 2017
1,996
5,054
Hello bosses...

Em tutafakari kidogo.

Binadamu tunajiumiza sana pasipo na sababu za msingi, miili yetu haijaumbwa/haijaumbika kwa ajili ya mazingira ya sasa hasa kwenye hii karne ya 21 na ndio maana kuna milipuko ya magonjwa ya ajabu kama vile kansa.

Tunalazimisha miili yetu yenye physiology ya kizamani(Ancient Bodies) kuishi maisha ya kisasa kitu ambacho kinapelekea watu kuishia kuwa na depression na kujiona hawafai.

Mazingira yetu yanabadilika kwa kasi kubwa zaidi na zaidi ukilinganisha na speed ya miili yetu kubadilika (evolution) ili kuendana na mazingira hayo. Hivyo tunajikuta tunalazimisha mambo ambayo kiukweli miili yetu haiwezi.


MIFANO.
1) Ukiangalia historia inasema zamani watu waliishi kwa kuwinda na kula matunda hapa watu waliishi miaka mingi na walikua na amani, lakini mabadiliko yakaja ikaingia issue ya biashara(trading) hii ikaleta matabaka coz kuna watu walitaka kuwa na vitu vingi zaidi kwenye hazina zao ili wawauzie wengine na ikapelekea kuwepo kwa empires, mambo ya utawala yakashika kasi. Hiyo ikaanza kuleta vita, njaa (kwa wasio na vyakula coz mabwenyenye walijilimbikizia) pamoja na madhara mengine ambayo yakapelekea kupunguza lifespan ya binadamu.

Mfano huo unaonesha binadamu (ANCIENT HARDWARE) hakuumbwa/hakuumbika kwa ajili ya issue za biashara (NEW SOFTWARE) lakini aliumbwa au kuumbika ili kusettle tu na kutumia kile ambacho nature itampa. Lakini kwa kufanya kosa moja (kuanzisha system za biashara) kunafanya tuendelee kufanya makosa tukidhani ndipo tunasuluhisha kosa la awali lkn kiukweli tunatengeneza makosa zaidi.


2) Mfano wa pili ni hizi tafiti zinazoendelea kila kukicha. Ni wazi tafiti nyingi zimeleta madhara makubwa tukianza na E = mc^2 ilozalisha bomu la nuclear na kufanya mauaji ambayo hata washambuliaji walilalamikia maamuzi yao. Pia virus nyingi zinatengenezwa kwenye labs. Zamani kwenye history hakukuwepo haya mambo ya virusi kama HIV au CORONA. Ugonjwa ambao hata zamani ulikuwepo ilikua ni homa(common cold)

Kuna mifano mingi sana ambayo ukiangalia inaonesha wazi kuwa miili ya binadamu physiologically haijaumbwa kwa ajili ya mazingira ya sasa ambayo bado tunahangaika kuyaharibu tukidhan tunaboresha hivyo kutengeneza matatizo na magonjwa mapya kila kukicha.

Hii ni kama kuweka software mpya yenye mahitaji makubwa kwenye computer ya zamani ambayo hardware zake (processor na memory) haziwezi kubeba huo mzigo. Ukizingatia physiology ya miili yetu inabadilika polepole sana ukilinganisha na jinsi mazingira yanavyobadilika.

So ukiona unashindwa kwenda na trends za sasa kama vile mambo ya modern education, business, working pressure, social media etc.... usijione haufai bali ndivyo inavyobidi uwe coz binadamu sote ni viumbe vyenye miili ya kale(ancient bodies with ancient physiology) na haujaumbwa au kuumbika kwa mabadiliko hayo unayoyaona. Na hao wanaoenda navtrend ujue deep down wanalipia gharama kubwa(gharama sio kwa maana ya hela tu) kwa sababu hawakuumbwa kwa ajili hio. Ndio maana wanaoongoza kwenye masomo(modern education) utakuta wanabidi watumie mda wao mwingi sana kusoma, wanaokuwa ma-CEO utakuta wanatumia mda mwingi kazini hivyo kukosa muda wa kukaa na family zao na wengine hupata obesity na depression.


LIVING IN 21st CENTUARY IS LIKE RUNNING NEW SOFTWARE ON OLD HARDWARE


Peace
~Kali Linux
 
Vuta picha generation ya vizazi vya karne nyingi zijazo.

Kuna muda utafika duniani kutakuwa si mahali salama kwa binadamu kuishi.
 
Hata sijamliza kusoma nimeishia hoja ya kwanza.
Unavyosema kwamba watu wa zamani waliishi muda mrefu zaidi si kweli.
Hakuna wakati ambao binadamu anaishi muda mrefu kama sasa na quality ya maisha imeongezeka.
Na automatically jinsi umri wako unavyoendelea kuongezeka matatizo yanayoweza kukupata pia yanaongezeka. It has nothing to do with evolution.
Ndio kuna matatizo ya kisaikolojia lakini hiyo ni byproduct ya jamii isiyokuwa na shida (i.e matatizo yatajitengeneza ili mradi kuwe na matatizo)
 
Hata sijamliza kusoma nimeishia hoja ya kwanza.
Unavyosema kwamba watu wa zamani waliishi muda mrefu zaidi si kweli.
Hakuna wakati ambao binadamu anaishi muda mrefu kama sasa na quality ya maisha imeongezeka.
Na automatically jinsi umri wako unavyoendelea kuongezeka matatizo yanayoweza kukupata pia yanaongezeka. It has nothing to do with evolution.
Ndio kuna matatizo ya kisaikolojia lakini hiyo ni byproduct ya jamii isiyokuwa na shida (i.e matatizo yatajitengeneza ili mradi kuwe na matatizo)
Si kweli usemavyo, binadamu wa vizazi kadhaa nyuma waliishi umri mrefu kuliko hii modern generation, umri umepungua kwa Sasa na magonjwa ya kisasa ( due to technological advancement) yameibuka kwa kasi.

Chukulia hata mababu wanaomalizia generation iliyopita, wameishi mda mrefu kuliko kizazi hiki ambacho watu wanafariki katika umri mdogo.
 
Hata sijamliza kusoma nimeishia hoja ya kwanza.
Unavyosema kwamba watu wa zamani waliishi muda mrefu zaidi si kweli.
Hakuna wakati ambao binadamu anaishi muda mrefu kama sasa na quality ya maisha imeongezeka.
Na automatically jinsi umri wako unavyoendelea kuongezeka matatizo yanayoweza kukupata pia yanaongezeka. It has nothing to do with evolution.
Ndio kuna matatizo ya kisaikolojia lakini hiyo ni byproduct ya jamii isiyokuwa na shida (i.e matatizo yatajitengeneza ili mradi kuwe na matatizo)
Daaah Wordsworth am sorry to say this but your words are worthless
 
Ndo maana unaweza kujikuta unahangaika kutafuta maisha mazuri, utembee ukiwa umekaa, ufanye kazi umekaa hadi unye umekaa🤣🤣. Chakula uwe unaagiza unaclick tu hicho kimefika yaani raha mustarehe.

Lakini ghafla anatokea daktari anakusanua; bro ni lazima ukimbiekimbie ndio utafaidi maisha. Unaanza tena kwenda gym kukimbiza upepo, na kunyanyua mavitu mazitomazito halafu tena unayarudisha chini. Ubatili, ubatili mtupu

Waga nawazaga labda gym wangefunga mitambo fulani tata ambayo mtu akifanya zoezi inazalisha hata umeme, kama majukwaa ya disco nilionaga kwenye mtandao. Ndo maana nchi zilizoendelea na hazina shida wanatumia baskeli kinyama
 
Hello bosses...

Em tutafakari kidogo.

Binadamu tunajiumiza sana pasipo na sababu za msingi, miili yetu haijaumbwa/haijaumbika kwa ajili ya mazingira ya sasa hasa kwenye hii karne ya 21 na ndio maana kuna milipuko ya magonjwa ya ajabu kama vile kansa.

Tunalazimisha miili yetu yenye physiology ya kizamani(Ancient Bodies) kuishi maisha ya kisasa kitu ambacho kinapelekea watu kuishia kuwa na depression na kujiona hawafai.

Mazingira yetu yanabadilika kwa kasi kubwa zaidi na zaidi ukilinganisha na speed ya miili yetu kubadilika (evolution) ili kuendana na mazingira hayo. Hivyo tunajikuta tunalazimisha mambo ambayo kiukweli miili yetu haiwezi.


MIFANO.
1) Ukiangalia historia inasema zamani watu waliishi kwa kuwinda na kula matunda hapa watu waliishi miaka mingi na walikua na amani, lakini mabadiliko yakaja ikaingia issue ya biashara(trading) hii ikaleta matabaka coz kuna watu walitaka kuwa na vitu vingi zaidi kwenye hazina zao ili wawauzie wengine na ikapelekea kuwepo kwa empires, mambo ya utawala yakashika kasi. Hiyo ikaanza kuleta vita, njaa (kwa wasio na vyakula coz mabwenyenye walijilimbikizia) pamoja na madhara mengine ambayo yakapelekea kupunguza lifespan ya binadamu.

Mfano huo unaonesha binadamu (ANCIENT HARDWARE) hakuumbwa/hakuumbika kwa ajili ya issue za biashara (NEW SOFTWARE) lakini aliumbwa au kuumbika ili kusettle tu na kutumia kile ambacho nature itampa. Lakini kwa kufanya kosa moja (kuanzisha system za biashara) kunafanya tuendelee kufanya makosa tukidhani ndipo tunasuluhisha kosa la awali lkn kiukweli tunatengeneza makosa zaidi.


2) Mfano wa pili ni hizi tafiti zinazoendelea kila kukicha. Ni wazi tafiti nyingi zimeleta madhara makubwa tukianza na E = mc^2 ilozalisha bomu la nuclear na kufanya mauaji ambayo hata washambuliaji walilalamikia maamuzi yao. Pia virus nyingi zinatengenezwa kwenye labs. Zamani kwenye history hakukuwepo haya mambo ya virusi kama HIV au CORONA. Ugonjwa ambao hata zamani ulikuwepo ilikua ni homa(common cold)

Kuna mifano mingi sana ambayo ukiangalia inaonesha wazi kuwa miili ya binadamu physiologically haijaumbwa kwa ajili ya mazingira ya sasa ambayo bado tunahangaika kuyaharibu tukidhan tunaboresha hivyo kutengeneza matatizo na magonjwa mapya kila kukicha.

Hii ni kama kuweka software mpya yenye mahitaji makubwa kwenye computer ya zamani ambayo hardware zake (processor na memory) haziwezi kubeba huo mzigo. Ukizingatia physiology ya miili yetu inabadilika polepole sana ukilinganisha na jinsi mazingira yanavyobadilika.

So ukiona unashindwa kwenda na trends za sasa kama vile mambo ya modern education, business, working pressure, social media etc.... usijione haufai bali ndivyo inavyobidi uwe coz binadamu sote ni viumbe vyenye miili ya kale(ancient bodies with ancient physiology) na haujaumbwa au kuumbika kwa mabadiliko hayo unayoyaona. Na hao wanaoenda navtrend ujue deep down wanalipia gharama kubwa(gharama sio kwa maana ya hela tu) kwa sababu hawakuumbwa kwa ajili hio. Ndio maana wanaoongoza kwenye masomo(modern education) utakuta wanabidi watumie mda wao mwingi sana kusoma, wanaokuwa ma-CEO utakuta wanatumia mda mwingi kazini hivyo kukosa muda wa kukaa na family zao na wengine hupata obesity na depression.


LIVING IN 21st CENTUARY IS LIKE RUNNING NEW SOFTWARE ON OLD HARDWARE


Peace
~Kali Linux

Dah mkuu hua nikikaaa nasemaga kimoyo moyo haya yote tunaishi kuna mmoja ndo aliesababisha tuwe hapa mana hatuli matunda kama chakula chetu hatuli mizizi tena hatuli asali hatuwindi tena yani kifupi ni watumwa tu saizi
 
Hata sijamliza kusoma nimeishia hoja ya kwanza.
Unavyosema kwamba watu wa zamani waliishi muda mrefu zaidi si kweli.
Hakuna wakati ambao binadamu anaishi muda mrefu kama sasa na quality ya maisha imeongezeka.
Na automatically jinsi umri wako unavyoendelea kuongezeka matatizo yanayoweza kukupata pia yanaongezeka. It has nothing to do with evolution.
Ndio kuna matatizo ya kisaikolojia lakini hiyo ni byproduct ya jamii isiyokuwa na shida (i.e matatizo yatajitengeneza ili mradi kuwe na matatizo)

Dah sasa kama hujamaliza hata kusoma bado unatoa na comment aisee ni balaaa mbona thus y ulichokiandika ni kama hakina uhalisia
 
Unaifahamu paradox of reading??
Yani ubongo ulioevolve miaka 100,000 iliyopita unawezaje kusoma Na kuandika vizuri kiasi hicho?? Wakati kuandika kumeanza approx miaka 5000 Tu iliyopita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom