kibla matata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2020
- 412
- 380
Na mimi mmojawapo wa wana jf na ninaipenda sana jf naungana na wenzangu kusema
Pole sana kwa yaliyokukuta
Pole sana kwa yaliyokukuta
Pole sana dugu aya mananaso yataisa tu yote yatapita na kubaki sarama kabisa.ni kuwomba tu Mungu atatusikia nasisi tukuwe na mabadiriko kuadika umu jf.pole sana itakuwa salama ti
Imani yake ni kuwa kusiwe na negative report juu ya serekali.Mkuu,
Unadhani katika hizo barua nimepishana vipi nao? Ukinishauri a better approach itapendeza; kusema hivi tu bila kutoa ushauri wa nini hasa cha kufanya unaniacha njiani.
Wewe nawe..! Anapishana vipi na serikali? Jamii anatupigania sana sisi wanajamii forums na serikali haitaki afanye hivyo!Mkuu pole Sana ila nakushauri jaribu kupitia mambo yako si ajabu Kuna sehemu Kuna udhaifu/unakosea....na jaribu kuboresha forum Ili usiendelee kupishana Sana Na serikali
Pole sana Mkuu Maxence Melo. Ulinzi wako kwetu umetukuka. Mapito yako ni kuimarika kwetu!
Kipindi kile likizo ilipokuwepo tulihamia Kenya kwa Muda, kule kuna kuitana Villagers. Haha.Heshima kwako mkuu
You motivated me!
For sure!
Keep it up...
Kwanza poleni sana..! Mimi siyo mjuzi wa sheria lkn nadhani hakimu alikuwa sahihi. Hakimu kawaambia mliwachelewesha police, ungewaambia tu huna hizo taarifa badala ya kusubiri kujiridhisha kujua jinai ya wateja wenu. Kwa maoni yangu mlijichanganya wenyewe kuwapotezea muda police.Hapana, hakimu amesema kuwa hakukuwa na ulazima wa kutoa data hizo ila akahitimisha kuwa niliwazungusha sana Polisi hivyo kuzuia upelelezi wao.
Kwanza poleni sana..! Mimi siyo mjuzi wa sheria lkn nadhani hakimu alikuwa sahihi. Hakimu kawaambia mliwachelewesha police, ungewaambia tu huna hizo taarifa badala ya kusubiri kujiridhisha kujua jinai ya wateja wenu. Kwa maoni yangu mlijichanganya wenyewe kuwapotezea muda police.
Kipindi kile likizo ilipokuwepo tulihamia Kenya kwa Muda, kule kuna kuitana Villagers. Haha.