Mkuu nakuunga mkono, sehemu nyingi za Tanzania hasa zenye miji midogo kama Matemanga na Mbesa - Tunduru, Runzewe-Biharamulo, mjini Kasulu na Manyovu haya mambo yapo sana.Nimeipenda Picha kwani ina akisi hali halisi ya maeneo mengi ya Jamhuri yetu tukufu!
Mzee Resort ipo upande gani? Toka nitoke Farm 17 mwaka 82 sijarudi mitaa hiyo? Garaji ya Mhindi ipo?