Sio kweli kuwa TV nyingne hawakuonyesha habari ya makondaMimi ni Mtumiaji wa King'amuzi cha Azam Tv!
Na Kuanzia Mida ya Mchana Mpaka Sasa Sauti Imekata!
Kilichoniuma Zaidi ni Kushindwa Kuisikiliza Habari ya Makonda,ambayo Karibu Televisheni Zote Zimeizira!
TBC Kunani?
Nani Anawahujumu?
Ni UKAWA?
Au Mange?
Nani?
Nimekwazika Mno!
Tbc inahujumiwa na maccm!Mimi ni Mtumiaji wa King'amuzi cha Azam Tv!
Na Kuanzia Mida ya Mchana Mpaka Sasa Sauti Imekata!
Kilichoniuma Zaidi ni Kushindwa Kuisikiliza Habari ya Makonda,ambayo Karibu Televisheni Zote Zimeizira!
TBC Kunani?
Nani Anawahujumu?
Ni UKAWA?
Au Mange?
Nani?
Nimekwazika Mno!
Mimi ni Mtumiaji wa King'amuzi cha Azam Tv!
Na Kuanzia Mida ya Mchana Mpaka Sasa Sauti Imekata!
Kilichoniuma Zaidi ni Kushindwa Kuisikiliza Habari ya Makonda,ambayo Karibu Televisheni Zote Zimeizira!
TBC Kunani?
Nani Anawahujumu?
Ni UKAWA?
Au Mange?
Nani?
Nimekwazika Mno!