Huenda nikatengeneza bilioni yangu ya kwanza mwezi January.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,488
20,444
Juzi wakati nikitoka Kaliua kwenda Mpanda katika kuchimba madini tulikatiza mto Ugalla.
Wenyeji wa maeneo hayo walinipa taarifa kuhusu malkia wa Ugalla anayekaa ndani ya mto Ugalla.
Malkia akikasirika huwa anaujaza mto Ugalla maji mpaka unavunja kingo zake na kukata mawasiliano kabisa kati ya pande mbili za mto. Miaka michache ya nyuma alikasirika sana na kuamua kusomba reli yote na maji. Mainjinia kutoka pande zote za dunia na nchi kila walipojaribu kujaza mawe yote yalisombwa mpaka walipoamua kumrushia sarafu mtoni ndipo alipowalegezea na hatimaye kukamilika na usafiri kurudi kama kawaida.
Wachimbaji wote tunaolekea Mpanda kuchimba madini lazima tufike mtoni na kurusha sarafu ili kupata baraka na ruhusa. Kwa kila sarafu unayorusha basi utafanikiwa kupata kama nusu kilo ya madini.
Kwa bahati nzuri mimi nilikuwa na begi la sarafu kwa hiyo nategemea kupata kilo kadhaa za madini ambazo thamani yake itafikia bilioni kadhaa.
Asante sana malkia wa Ugalla kama utani hivi utajiri nje nje.
Karibuni sana hifadhi ya Ugalla wadau.
 
Uchimbaji na utafutaji ni imani....kila la kheri mkuu ukipata usisahau sadaka yatima kanisani msikitini na wajane........heri mwaka mpya 2024
 
Unafurahisha sana
Kwa bahati nzuri mimi nilikuwa na begi la sarafu kwa hiyo nategemea kupata kilo kadhaa za madini ambazo thamani yake itafikia bilioni kadhaa.
Asante sana malkia wa Ugalla kama utani hivi utajiri nje nje.
Karibuni sana hifadhi ya Ugalla wadau.
 
Uchimbaji na utafutaji ni imani....kila la kheri mkuu ukipata usisahau sadaka yatima kanisani msikitini na wajane........heri mwaka mpya 2024
Sadaka ya kanisani na msikitini anampelekea nani?

Eneo anapoishi hakuna mayatima, wajane, masikini na hata wagonjwa wanaohitaji msaada direct?

Kanisani ama msikitini sadaka itatafunwa na wajanja utakuwa hujaisaidia jamii.
 
Post kwenye jukwaa lenye u serious basi!! Bilioni sio kitoto ujue. Huku kwenye jokes waache Masanja na Joti
 
Juzi wakati nikitoka Kaliua kwenda Mpanda katika kuchimba madini tulikatiza mto Ugalla.
Wenyeji wa maeneo hayo walinipa taarifa kuhusu malkia wa Ugalla anayekaa ndani ya mto Ugalla.
Malkia akikasirika huwa anaujaza mto Ugalla maji mpaka unavunja kingo zake na kukata mawasiliano kabisa kati ya pande mbili za mto. Miaka michache ya nyuma alikasirika sana na kuamua kusomba reli yote na maji. Mainjinia kutoka pande zote za dunia na nchi kila walipojaribu kujaza mawe yote yalisombwa mpaka walipoamua kumrushia sarafu mtoni ndipo alipowalegezea na hatimaye kukamilika na usafiri kurudi kama kawaida.
Wachimbaji wote tunaolekea Mpanda kuchimba madini lazima tufike mtoni na kurusha sarafu ili kupata baraka na ruhusa. Kwa kila sarafu unayorusha basi utafanikiwa kupata kama nusu kilo ya madini.
Kwa bahati nzuri mimi nilikuwa na begi la sarafu kwa hiyo nategemea kupata kilo kadhaa za madini ambazo thamani yake itafikia bilioni kadhaa.
Asante sana malkia wa Ugalla kama utani hivi utajiri nje nje.
Karibuni sana hifadhi ya Ugalla wadau.
Mkuu nitafute kwa wakati wako nikupe dawa ya kuchimba dhahabu upate kwa wingi dhahabu ili uwe tajiri wa Bilionea.
 
Kwanini USI ende kuchimba wewe, kwa vile dawa unayo😁😀🤣.
Cc Mshana Jr kuna ukweli hapa🤔
Kwani unafikiri kuchimba dhahabu ni kazi rahisi?uwe na na pesa za kutosha ndipo utakapo weza kuchimba dhahabu aka uwe an msingi wa pesa ndipo utakpo weza kuchimba dhahabu.
DAWA YA KUPATA DHAHABU
DHAHABU DHAHABU DHAHABU :
zamani wazee wetu walikuwa wametawaliwa na wakoloni ,wakawa wanafanyishwa kazi kama watumwa kuchimba dhahabu kuwapa na wao wanatuporea rasilimali zetu na kuzipeleka ma kwao.
Ilikuwa inafanyika hivi:
Miongoni mwa wale wafanyakazi atakaepeleka dhahabu kubwa mara alikuwa anapewa zawadi sasa wakawa wengine wazee ni wajinga.instead of hiding they went and showed the whitemen their golds.
Walikuwa wanawaonyesha dhahabu waliyoipata katika kufanya kazi .
Wanawapa wazungu na wao wanaihifadhi wakiwa wanatuona wajinga.mara walikuwa wakiwatishia wazee wetu wakisema "atakaeficha dhahabu atauawa.
Sasa point langu ni hapa:
Wazee wale walikuwa wakishindaniana kwa kutumia madawa zingaombo na madawa yenye uwezo wa kupata dhahabu na kuzificha(wazee wenye busara)
Na wajinga wakitumia dawa zao za kuchimbia na wakipata dhahabu wanawapelekea wazungu ili waweze kupewa zawadi.hapo mmenielewa.
DAWA NNAYOIZUNGUMZIA NI AINA (2).
dawa ya dhahabu ile yetu ya ukoo ukiihitaji unalipia hela nyingi na ukienda machimboni kuchimba dhahabu hutochelewa kutoboa,utapata dhahabu kwa haraka sana.na kurejea home.
Aina ya pili ni ya wewe kupewa na utaenda na baada ya mwezi au miezi miwili utapata dhahabu na kuridhika na kurejea.
(3).kuna dawa utapewa ili ulishapata dhahabu usiroweee.
Mana kuna wengine wakipata wanarowea yani wanakaa daima kwenye machimbo,wakiwa vibaraka wa wanawake kuwanyonyea mali zao na wanaona kawaida.
Dawa ile ukiwa nayo na kufata maelekezo itakufanya wewe kuwa na akili timamu ili pindi ukipata mafanikio usichelewe kurudi nyumbani na kujifanyia maendeleo yako ya wewe na familia lako.

SHUHUDIA VIJANA WAKIOKOTA DHAHABU KWENYE BARABARA ZINAZOENDELEA KUJENGWA​



View: https://www.youtube.com/watch?v=QPtIzemezkM&ab_channel=GanganaInfoChannel
 
Back
Top Bottom