"Huenda Mwandishi Daud Mwangosi alitumwa awalipue Polisi kwa bomu (Kujitoa mhanga)"

Hii nimeiona imepostiwa na mwana CCM Mjumbe wa NEC mwenye dream za kuja kuwa kiongozi wa Nchi hii.



MWANDISHI ALIPEWA BOMU AKALIPUE??

(1)-MWANDISHI MWENZIE ASEMA marehemu alikuwa anasoma kitabu cha maadili ya waandishi kabla ya tukio jambo ambalo si kawaida,

(2)-Alionekana kuwa na wasiwasi na mgogoro wa nafsi kabla ya kwenda katika tukio.

(3)-Bila kujali vurugu wala bila hofu alikuwa anaelekea mahali polisi walipokusanyika.

(4)-Alipovamia kundi la polisi kabla hajafanya chochote polisi wakamuwahi wakawa wanamzuai.

(5)-Akawa analazimisha kwenda alipo mkuu wa kituo wa polisi OCS.
... (6)-Wakati polisi wanakabiliana nae akaangukia tumbo.

(7)-Mlipuko mkubwa ukasikika na kufumua utumbo na kujeruhi polisi kadhaa akiwemo mkuu wao.

(8)-Huenda alikuwa na bomu aliloficha ndani ya shati.

(9)-Hakudhamiria kujiua, huenda alitumwa kulidondosha katikati ya polisi.Lakini kwa bahati mbaya akadondoka,bomu likamlipukia kabla hajalitoa.

HUENDA ALITUMIWA, AKAWALIPUE POLIS

369213_100000876702057_873153215_n.jpg



Ally Salum Hapi

MKT WA CCM (UDSM),MJUMBE WA BARAZA KUU LA SHIRIKISHO LA CCM MKOA WA DSM


University of Dar es Salaam
Class of 2007 · L.L.B. · Bachelor of Laws · Staying Focused
A graduate of LL.B(horns),University of Dar es salaam.

My Take:
Huyu na yeye anajiita ni Msomi.

Hii show up behavior ya kupitiliza ni tabia ya mashoga. Nahisi huyu naye ni mmoja wao.
 
Tusubiri tume iliyoundwa ila ki2 kimoja najiuliza, mbona nimemsikia SLAA akisema baada ya kukaa kikao na IGP imeundwa tume na mwakilishi wa CDM akamtaja kuwa ni MAKENE, lakini navyo juwa MAKENE ni mwandishi wa habari inakuwaje anawakilisha CHADEMA? siasa bwana ki2 kingine zimewateka hadi waandishi wa habari, kumbe kuongea kote kule jana MAKENE alkuwa anapalilia kuteuliwa kwenyea tume tena kama mwanasiasa na siyo mwandishi wa habari?


Unajua unachoandika au unataka ueleweshwe?
 
Hizi ni akili au matope sasa naona ccm wanatengeneza wakina shigela wengine!!
 
kwa navyomfahamu huyu dogo tangu tukiwa naye DARUSO sio ajabu kuandika utumbo kama huo.yeye huwa anawaza kujipendekeza tu ili mradi apate madaraka.
 
Lilimlenga Daudi na waandishi wa habari wengine watakao Tangaza matukio ya Chadema in a positive way. Waandishi wa habari wajifunze kutoka kwa waandishi wenzao wa Habari leo, Michuzi blog, nk

Hao waandishi wengine wana nini cha muhimu cha kuwafunza wenzao??
 
anapenda kujipodoaa
anapenda kujichubuaa
anapenda kutuzinguaa
kumbe ni kaka poaaa,,,
mods namm naimba tuh,pls msinipge ban
mana nimeruhisiwa jana tuh ban yangu ilipoisha chonde chonde
i love jamii forum
 
Shoga mkubwa wewe,nasisi tunaanza kuwaua na nyie,mnapewa viburi na serikali yenu ya kipumbavu,msomi gani wewe?wewe ni limbukeni wa maisha.
 
Wapo watu walioshuhudia kilichotokea CCM wasinunue kesi ambayo ushahidi upo. Mtoa maneno hayo ni mwongo mkubwa na hataweza kuthibitisha hilo.
 
Hii issue ya mauji .. sina usemi/maoni nitabaki nawasoma tu!... i hope sheria itachukuwa mkondo wake tusihukumu
 
huyu tulimkataza kutoa maoni ktk jukwaa la katiba,sijui kwa nini mnasoma page zake.... huyu ni miongoni mwa vijana ambao hata akiitwa IKULU ,ku.... ,tena peku anaenda. niko tayari kwa bani ya siku 7@Mods
 
Mkalikenye!! Hivi bunduki ya bomu la machozi wakuelekezee tumboni zero distnce huwezi kufumuka utumbo, momentum halina?
 
huyu ni msomaji na sio msomi kabisa....... mbona picha zinaonyesha polisi wakiwa wamemshikilia na mmoja akiwa ameelekezea mtutu tumboni mwa mwandishi......... kwanini asiwe huyu polisi ndie alie mlipua....ontop of that hutakiwi kumueekezea bunduki mtu unless umedhamiria kumshuti
 
Kama huamini nenda kawaambie hao polisi wauaji wakuelekezee tumboni bomu la machoz zero distance uone utumbo utaenda wap
 
Hivi alikua hana camera ya kuzoom mpaka asogelee askari? Si angerekodi kwa mbali na kuondoka zake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom