Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Huenda Hansi mmassy akajiengua CCM na kujiunga kambi ya upinzani. Kwa kauli yake anasema anapata wakati mgumu sana kuamua. Yote yatategemea ile tarehe 14 kamati kuu itaamua nini. Atajiunga na chama gani? Bado ni kitendawili.:doh: