Huduma ya Sim Banking ni janga CRDB

delusions

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
5,003
1,278
Ni wiki ya pili sasa kila nikitaka kutumia hiii huduma inaandika sorry you do not have enough funds nikienda kweny atm nakuta hela zipo nikiingia ndani hela zipo kwenye akaunti mwanzo nilishtuka nikajua nimeibiwa lakini sasa hii ni zaidi ya usumbufu sitimiziwi malengo yangu ya kujiunga na hii huduma kama vipi mnitoe tuu nijue sina sim banking nimeripoti ndani kabinti kananibania pua kanasema ni tatizo la mtandao wiki mbili tatizo gani tena kama mmeshindwa toeni na matangazo yenu ya sim bankig kwenye atm
 
Ni wiki ya pili sasa kila nikitaka kutumia hiii huduma inaandika sorry you do not have enough funds nikienda kweny atm nakuta hela zipo nikiingia ndani hela zipo kwenye akaunti mwanzo nilishtuka nikajua nimeibiwa lakini sasa hii ni zaidi ya usumbufu sitimiziwi malengo yangu ya kujiunga na hii huduma kama vipi mnitoe tuu nijue sina sim banking nimeripoti ndani kabinti kananibania pua kanasema ni tatizo la mtandao wiki mbili tatizo gani tena kama mmeshindwa toeni na matangazo yenu ya sim bankig kwenye atm
Labda ni tatizo kwa baadhi ya wateja tu. Binafsi nimekuwa naitumia huduma hiyo bila matatizo (ukiacha "outages" mara chache).Mara ya mwisho nimeitumia juzi (10 April 2013).

Au pengine una-transact zaidi ya viwango vinavyokubalika (kwa muamala, kwa siku)?
 
dah hizi online transaction ni nzuri pindi tu mhamala wako ukikamilika unless co nzuri sana kuitumia coz mambo zikibuma tu unajikuta kitu iko pending mwez mzima hamna reverse yeyote usiombee sasa ukaripoti kwa kabint kokote pale customer service kalikoajiriwa juzi hakajawahi tumia hata hiyo huduma, simply katakuambia tu ni mtandao ukizubaa ndio hivo tena pesa ishaenda
 
Mi wameshakula 13,000 zangu za muda wa hewani, unanunua credit salio linakatwa credit hupati, kila ukipiga simu unapewa jibu tu 'tunatuma reminder' utarudishiwa pesa yako ndani ya saa 24, halafu kimya hakuna cha hela kurudishwa wala nini. Nishaacha kutumia SimBanking
 
Labda ni tatizo kwa baadhi ya wateja tu. Binafsi nimekuwa naitumia huduma hiyo bila matatizo (ukiacha "outages" mara chache).Mara ya mwisho nimeitumia juzi (10 April 2013).

Au pengine una-transact zaidi ya viwango vinavyokubalika (kwa muamala, kwa siku)?
yani hata access ya kufanya matumizi sipati inaandika tu hauna salio la kutosha kukamilisha muamala huu sielewi muamala ndo nini wakati hata sijafanya chochote kile cha matumizi hivi vibinti wameviweka cutomer care vinaboa sana siyo kila mtu anawatongoza hadi mbane pua alaaa watu tuna hela zetu tupeni huduma
 
  • Thanks
Reactions: SMU
yani hata access ya kufanya matumizi sipati inaandika tu hauna salio la kutosha kukamilisha muamala huu sielewi muamala ndo nini wakati hata sijafanya chochote kile cha matumizi hivi vibinti wameviweka cutomer care vinaboa sana siyo kila mtu anawatongoza hadi mbane pua alaaa watu tuna hela zetu tupeni huduma
Katika namba ulizojaribu kupiga zipo hizi (0714/0789/0755-197 700)? Niliwahiwahi kupata tatizo fulani nikahudumiwa haraka tu kupitia mmojawapo ya namba hizo.

Binafsi nachukia sana foleni (bank na kwengineko) hivyo huduma hizi za kupitia simu au internet, zinanisaidia sana.
 
Hilo tatizo mi lilinikuta, ila ilikuwa baada ya kuingia kwenye menu ya Sim Banking mara nyingi. But hivi wanakata shngapi kwa kutumia hii CRDB Simbanking?
 
Hakikisha una salio kwenye simu yako kabla ya kufanya sim banking ya bank yoyote ile.
Standard SMS/ or call rates apply so kama hauna credit kwenye simu lazima upate ujumbe huo?
Wewe unadhani kampuni ya simu wanapataje hela kama sio kukucharge for that connection??

yani hata access ya kufanya matumizi sipati inaandika tu hauna salio la kutosha kukamilisha muamala huu sielewi muamala ndo nini wakati hata sijafanya chochote kile cha matumizi hivi vibinti wameviweka cutomer care vinaboa sana siyo kila mtu anawatongoza hadi mbane pua alaaa watu tuna hela zetu tupeni huduma
 
kaka tatizo langu kama lako nimenunua Airtime, wamekata kwenye Account but mpaka leo siku ya 5 sijapata. Nimeacha kabisa kutumia Huduma hii
 
Mimi nilijitoa zamani baada ya rafiki yangu kukwapuliwa hela zake,simu ilibroke ghafla..wajanja wali-renew line yake na kudraw
 
Back
Top Bottom