FCR
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 213
- 177
Leo tarehe 11.06.2019 Kuna mgonjwa ameletwa tangu majira ya saa Saba mchana baada ya kufikishwa Kama kawaida alipitishwa kwa daktari ili daktari amuone hali yake pamoja na kuchukua particular zake. Baada ya kumuona daktari aliamuru mgonjwa apewe kitanda kulingana na hali yake ,shida inakuja hivi tangu mgonjwa amepewa kitanda alipewa paracetamol tu hata hivyo vipimo walimchukua vya mkojo na damu hadi Sasa hajapata majibuKumbuka muda huu ni saa tano usiku kasoro nne.
Mimi nilichojiuliza labda huenda vipimo vimechelewa kwa sababu wagojwa ni wengi pili kwa uzoefu wangu vipimo Kama hivyo saa moja haipiti bila kupewa majibu!
Hata hivyo labda mgonjwa amefanyiwa nongwa kwasababu ya bima yake!
Nachokiona takukuru wanakila sabab za kutembelea taasisi Kama hizi kujuwa huduma zitolewazo!
Mgonjwa yupo hoi bini taabani hajui hatima yake ya magonjwa yanayomkabiri (nimejaribu kumuuliza nerse kuhusu mgojwa huyo anasema tangu ameingia zamu hajaona dawa za mgonjwa huyo.
Mimi nilichojiuliza labda huenda vipimo vimechelewa kwa sababu wagojwa ni wengi pili kwa uzoefu wangu vipimo Kama hivyo saa moja haipiti bila kupewa majibu!
Hata hivyo labda mgonjwa amefanyiwa nongwa kwasababu ya bima yake!
Nachokiona takukuru wanakila sabab za kutembelea taasisi Kama hizi kujuwa huduma zitolewazo!
Mgonjwa yupo hoi bini taabani hajui hatima yake ya magonjwa yanayomkabiri (nimejaribu kumuuliza nerse kuhusu mgojwa huyo anasema tangu ameingia zamu hajaona dawa za mgonjwa huyo.