NGASEKU MDOGO
Member
- Mar 20, 2013
- 50
- 10
Niko hospital ya wilaya ya mwanga usangi govt hospital hali inasikitisha huduma hazitolewi wahudumu wanaingia na kutoka ofisi nimekaa masaa matatu hamna huduma. Kuna mama kaja na mwanaye anatapika damu kakaa mpaka kaamua akawalile madaktari wanaopiga story still bado ..... plz kama kuna mgomo wa madaktri tujulishwe jamani