Nyingine hazina dawa...
nimesoma kimakini, na penuni kupekua
sipati hali ilivi, ni kama wacheua
hivi ni nini hiki, mpenzio kubutua
sasa nahisi viroja, wadarizi mpenzio
wadarizi mpenzio, sasa nahisi hoja
na mapenzi wala sio, bali ni kuboboja
wamnanga mpenzio, wala hii si mara moja
sasa nahisi viroja, wadarizi mpenzio
tena wajipukuta, ili kumuweka yeye uchi
sijui na akija juta, utaikimbia hii nchi?
msetiri ulemkuta, ili kinu kile mchi
sasa naona viroja, wadarizi mpenzio
Jaribu kuchange muda wa mechi labda itasaidia..badala ya usiku iwe mchana teh teh
Sasa kufikia kileleni ndo kudodesha ama kuboresha kitanda? Kwani kudodesha maana yake nini?
ruta unahitaji elimu kubwa sana ya sex mkuu
kuna kitu unananga, kisije kukunanga wewe
topics zako nashindwaga hata kuzijibu maana sizielewagi...zingine usiandike kimashairi aisee...
Hii noma niliwahi kukutananayo Singida. Nakuambia ilikuwa hatari, yaani mpaka maji yalikuwa yanaruka ukutani
Hata wewe ni mtaalamu.................changia hapa....... patience96
Vanmedy...............kwani kuna suala la kitabibu hapo? [MENTION]@VANMEDY[/MENTION]hii mada jaribu pia kuipaste jukwaa jf doctor
Hii noma niliwahi kukutananayo Singida. Nakuambia ilikuwa hatari, yaani mpaka maji yalikuwa yanaruka ukutani
Hazina break ndo maana zinadondoka kitandani
Yalikuwa hayaunguzi hayo maji Mungi?