Shaffin Simbamwene
JF-Expert Member
- Nov 16, 2008
- 2,156
- 1,521
kama ushapata nirushie kwenye email hapo juu niprove
Last edited by a moderator:
hana lolote alitaka kuwatowa watu ushuzi tu
Mbona hakuna aliyeleta mrejesho hapa? Nijuavyo hata ukiifungua huwezi kutumia Gsm yaani hadi uweke CDMA line vinginevyo ndo ushaiua Modem Hacha sifa za kijinga kijanaHahaha SPYMATE mbona kimya, umeshaitumia ukaona aibu kupost kuwa imefungua modem yako?
Shaffin Simbamwene, lets say haziwezekani kufungua sawa. Mimi nina swali, hizo modem zinatumika na mobile networks za tanzania (Zantel, Sasatel, .. ) ambapo watu wanasema kuwa bongo hamna technology ya CDMA ila iko ya GSM.Mbona hakuna aliyeleta mrejesho hapa? Nijuavyo hata ukiifungua huwezi kutumia Gsm yaani hadi uweke CDMA line vinginevyo ndo ushaiua Modem Hacha sifa za kijinga kijana
Shaffin Simbamwene, lets say haziwezekani kufungua sawa. Mimi nina swali, hizo modem zinatumika na mobile networks za tanzania (Zantel, Sasatel, .. ) ambapo watu wanasema kuwa bongo hamna technology ya CDMA ila iko ya GSM.
Zantel na Sasatel wanatumia CDMA au GSM?