Thanks for the consideration of other thinkers because through this we can know what people think about their future as well as country's direction. Thank you once again.:wink2:
wapenzi wa jamii forum,mnajua, kila aliyefika kuhesabu kumi lazima kaanza moja.Jifunzeni kwa makini ni rahisi sana kutumia jamii forum,kubwa zaidi ipo hata kwenye lugha yetu ya kiswahili.Tujitahidi kusoma kwa kuzingatia na kufuata maelekezo, tutaelewa vyema.
First, Position ya Mkurugenzi TBC inateuliwa na Raisi.sio ya kuapply Tido Muhando kuwa mkurugenzi wa TBC ni Jk ambaye ni Muislam ndiye aliyemteuwa. Nilitaka kuondoa dhana ya udini kwanza, halafu post yoyote ile inayousu serikali kwa Tanzania huwa inaangalia Dini, ukanda, kabila na mambo mengine ya msingi ili kuweka sawa ili mnalolijadili. Kukosa huduma au kupata huduma poor kwa Tanzania ni jambo la kawaida, inapaswa tuwe tunajadili njia gani ya kutumia ili kupata huduma bora na c kujadili swala la udini. Kwa mm naweza kusema muhadhili yeye ndiye mwenye udini, maana mnafiki huwa anamjua mnafiki mwenzie. C busara kuchukua exam results za watoto na kwenda kujadiliana na mkeo.
nathani umefika wakati sasa tuache malumbano tuanze kufanya kazi . serekali ichukue hatua kuweka na kusimamia kikamilifu mifumo itakayoondoa UMASKINI KWA WATU KUFANYA KAZI NA KUKOMESHA KABISA UFISADI kwa kuweka na KUTEKELEZA ADHABU KALI . WATANZANIA WENGI hatufanyi kazi wote tumeingia kwenye siasa.
Nasalimia wana JF..nimeingia humu kujifunza zaidi na si kuonyesha ujuaji wala kumtukana mtu,.jina langu lina maana ya kutowapenda wanasiasa ila napenda siasa....ahsanteni,.inshaAllah tupate yaliyo mema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.