one way that hackers can get in to your website and mess it up, using a technique called SQL Injection
source here How to hack a website - Ecademy
Kwa ujumla, ukitaka kuwa hacker mzuri lazima ujisomee sana na u-practice tirelessly. Read and practice anything from OS, HW, to TCP/IP. Mfano, kama unatumia SQL injection kama alivyoonyesha Sharo hapo juu, lazima ujue vizuri SQL ndipo unaweza hata ukajaribu mbinu mbalimbali-acha zile ambazo tayari zinajulikana.
mods jana mmeongea na bbc kuhusu watu ku-hack jf mara 100 kwa siku
tunaomba mtujuze wanafanyaje??nataka kuwa hacker na mimi nisumbue watu kwenye ulimwengu huu wa technologia
hao wanasumbua jf sio hackers ni spammers tu. B ut kwa kutumia spammer watu wanafanya social engineering wakikuingiza mjini ukawapa detail zako unawarahishia ku haijack account zako.
Kuwa hacker hiutaji kuwa mtaalam sana siku hizi wakuu . Kuna tools hizo wewe unaingiz jina la tovuti na detail chache tu then automatically yenyewe inazaa kufanya injection. Mtu yeyote hata asiyejua single SQL syntax anaweza kuhack tovuti dhaifu.
Mfano mimi sikuhack lakini niliweza kuona backend na
Sio mtaalam lakini ukiwa na tool sahihi duh katika risk assesment ya tovuti nilizofanya ya BOT pale kwa wanolipwa mishahara mikubwa na tunaomaini wana vichwa ndio wako uchi zaidi.
- kujua tovuti ya TRA, NSSF zinatumia CMS ya joomla. na mbaya nyingine zinatumia version ya zamamni zenye security holes
- tovuti ya BOT ina very high risk SQL injection vulnerabirity.
tuonyeshe tuna hamu ya kuwapeleka mchakamchaka
hasa zile za bot,nssf,na tra,nina hamu nazo nizivuruge vipande vipande mpaka vile vitambi vya rushwa vikose usingizi
malizi ile project yako ya kutengeza website kwanza. ukikamilisha hiyo basi hata hitonyenzo utapata urahisi wa kuzitumia. Sasa hivi ni sawa sawa upewe spanner ambapo huwei kujua inafungau bolt za tairi au engine.
Lakini unadhani hivyo vitambi vitakosa usingizi. Hapo ndo kwanza unakuwa umewaleta dili lingine watafute mtaalam Kutoka US waje arekebishe. teh teh teh
mtazamaji huwezi amini siku zote nilikuwa na-struggle na front page,
sasa hivi imeshakaa sawa,natengeneza link page halafu utaziona zimekaaje,
nataka nibadilishe career
wananitafuta sana hawa,walinikimbiza facebook eti wanaijua familia yanguRosmaarie paoa ila angalia kabla hujahawack mafisadi wakakuhack wewe na career yako. Maana sometime hata ukitoa maoni ya maana unaonekana Tishio sasa ukiwa hacker kweli si ndo watakuita gaidi. Teh teh teh .
But soory natoka nje ya mada hivi wewe ni she kama jina na avator ilivyo au ni he.?????? Maana kule kwenye siasa duh. Una hasira nao kweli Teh teh teh teh.