chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 580
- 245
Nina rafiki yangu, yuko majuu kutafuta riziki, kaacha mke Bongo, jamaa ataka kila mara akimpigia simu mkewe, aambiwe kila kitu na mkewe, katongozwa, kachokozwa na watu na kila udaku mtaani. Mke hapendi na kanishtakia kwangu, mimi nikamuuliza swahiba, vipi haya mambo, utakuja zirai ama upate ugonjwa wa moyo, bwana kanambia, afadhali nijue hayo mambo kabla masela wanitangazie mitaani!!, kaongezea kuwa ashamwambia mkewe vibinti vyoote alivyo pitia akiwa hapa mtaani!!!.Yaani ametubia na hatarudia tena. Nilishtuka na sikua na la kusema.
Jamani wana jamii, ni bora kutoa ukweli wooote bila kuficha????, kuna ukweli mwengine mwenzio hawezi kuuhimili
Jamani wana jamii, ni bora kutoa ukweli wooote bila kuficha????, kuna ukweli mwengine mwenzio hawezi kuuhimili