How CCM Miscalculated Entirely Everything

Hivi wewe mpumbavu kiasi kuuliza usichokijua.Unafahamu nini wanachokizungumzia.mtu yeyote ili afanye mambo yake kwa mpangilio lazima aziandike.Kama ukisahu utafanya nini ili kukumbuka.Usiwe mwendawazimu kumfanya JK hana akili.Ameongoza nchi bila ya matatizo na kuchaguliwa mwenyekiti wa AU na mtanzania kuchaguliwa kuwa naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa.Mama Migiro ameteuliwa kwa sababu ya sifa ya tanzania.Wewe unapoandika chochote uwe na ukweli wa unachokielezea .Usikrupuke kama mwenda wazimu wa Mirembe

mapovu ya nini tena ndugu yangu ....

hebu tulia na uvute pumzi .....owhamhhhhhuuuuu ......owhamhhhhhuuuuu
 
Hivi wewe mpumbavu kiasi kuuliza usichokijua.Unafahamu nini wanachokizungumzia.mtu yeyote ili afanye mambo yake kwa mpangilio lazima aziandike.Kama ukisahu utafanya nini ili kukumbuka.Usiwe mwendawazimu kumfanya JK hana akili.Ameongoza nchi bila ya matatizo na kuchaguliwa mwenyekiti wa AU na mtanzania kuchaguliwa kuwa naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa.Mama Migiro ameteuliwa kwa sababu ya sifa ya tanzania.Wewe unapoandika chochote uwe na ukweli wa unachokielezea .Usikrupuke kama mwenda wazimu wa Mirembe

Usual suspects!
 
Back
Top Bottom