Sabi Sanda
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 409
- 31
Salaam kwenu wote,
Naomba msaada wenu. Kwa muda sasa sijapata fursa ya kumsikia na kumuona Rais wetu akihutubia taifa kupitia utaratibu wake wa kuongea na Watanzania kila mwezi kwa njia ya televisheni na redio. Je huu utaratibu umekufa? au ni mimi tu ambaye nimezikosa hizo hotuba za Rais za kila mwezi?.
Nimeangalia tovuti ya taifa (www.tanzania.go.tz) bahati mbaya ukurasa wa hotuba za Rais haukufunguka japo kurasa zingine zimefunguka.
Pia tuwaombe wahusika ofisi ya Rais wa-update LINKS/KURASA zinazomuhusu Rais bila kusahau masuala na taarifa nyingine muhimu kwa taifa letu.
Naomba msaada wenu. Kwa muda sasa sijapata fursa ya kumsikia na kumuona Rais wetu akihutubia taifa kupitia utaratibu wake wa kuongea na Watanzania kila mwezi kwa njia ya televisheni na redio. Je huu utaratibu umekufa? au ni mimi tu ambaye nimezikosa hizo hotuba za Rais za kila mwezi?.
Nimeangalia tovuti ya taifa (www.tanzania.go.tz) bahati mbaya ukurasa wa hotuba za Rais haukufunguka japo kurasa zingine zimefunguka.
Pia tuwaombe wahusika ofisi ya Rais wa-update LINKS/KURASA zinazomuhusu Rais bila kusahau masuala na taarifa nyingine muhimu kwa taifa letu.