Hotuba za Lowassa kama ndio hizi, Kazi ipo

Ndugu yangu pale hakuna mtu nikopotu, mbwembwe za wasie jitambua ndio zinamlinda pale hana lolote mate na kutetemeka dk10
 
Nilazima kua na hotuba ya kuvutia kwa mpiga kura, ila kwa sera hii ya mama lishe, bodaboda, machinga inakua ngumu kushawishi watu wengine, kweli siasa mchezo mchafu kutoka kwenye sera ya ufisadi hadi kwenye sera ya mama rishe, boda boda,
 
Lowassa ni kama Mussa ambaye hakuwa mzuri kwenye kuongea ndiposa akapewa kaka yake Haruni amsaidie kwenye hotuba. Pamoja na kutokuwa muongeaji Musa aliwaongoza vizuri waisraeli kutoka kwenye utumwa wa Farao Misri.

Lowassa ni wa matendo zaidi ya maneno

Maneno kidogo, matendo zaidi
 
yaani mm ni ukawa ila lowasa weakness yake ni uwezo wa kuongea ambacho ni kitu mhimu saana kwenye uwanja wa siasa

ila uzuri na magufuri hawezi kuongea pia yaani
akianza mpaka anamaliza unadhani alikua anafanya utangulizim kumbe kasha maliza

Kwa hiyo hapo ngoma droo.
 
Leo Mbeya nimesikiliza Mgombea wa UKAWA ndugu Lowassa suala la kuhutubia hajajaliwa,maana hadi anamaliza bado mazingira hajayashika kihotuba,wamsaidie sana umati Kama ule ulihitaji hotuba ya kisawa SAWA,nashauri asaidiwe

Watu hawataki maneno mengi wamechoka kufikia maneno na Hotuba nzuri kwa Miaka 54 lakini hazikusaidia kitu. Watu sasa Watu wanataka maendeleo kwa vitendo
 
Ganda la muwa la Jana chungu kaons kivuno,Jamaa hawezi kujieleza na sauti Yake ya SASA ni ya mgonjwa Hilo halina ubishi,yaan apumnzike naomba
 
saa ya mabadiliko ni sawa na saa ya mahaba mambo yanaenda taratibu na sio kelele, tuache wa tz Lowasa atuliwaze taratibu
 
..unakumbuka uchaguzi mdogo jimbo la kalenga?

..mgombea wa ccm alikuwa hawezi kujieleza hata kidogo.

..pamoja na mapungufu hayo alishinda kwa kishindo.

..inawezekana kwa maneno yake machache wananchi wakamkubali.
 
Leo Mbeya nimesikiliza Mgombea wa UKAWA ndugu Lowassa suala la kuhutubia hajajaliwa,maana hadi anamaliza bado mazingira hajayashika kihotuba,wamsaidie sana umati Kama ule ulihitaji hotuba ya kisawa SAWA,nashauri asaidiwe

Maneno yake mafupi kama KAPTULA ila ni mazito kama ZEGE!
 
Back
Top Bottom