hindikwetu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 251
- 86
Leo Mbeya nimesikiliza Mgombea wa UKAWA ndugu Lowassa suala la kuhutubia hajajaliwa maana hadi anamaliza bado mazingira hajayashika kihotuba, wamsaidie sana umati Kama ule ulihitaji hotuba ya kisawa SAWA, nashauri asaidiwe.