IsayaMwita
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 1,127
- 140
Hapo ndipo Zitto onapoonyesha kuwa una uwezo wa kuelewa mambo, nakumbuka sana nilipokuwa KGM jinsi hali ya bara2 ilivyokuwa mbaya, hakika wanakigoma wataendelea kukumbuka siku zote kwa kuwaletea barabara.