Hotuba ya Zitto Kabwe - Kigoma: 21 Desemba 2013

Wanaosema zitto ni mlafi wa madaraka
kila mwanachama ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa hamtaki awe na haki hizo zote?
Mnataka aliyepo ndo awe anachaguliwa
 

Umenisikia MIMI nikiruka ruka na KUELEZA UIMARA wa KABILA au DINI yangu? HATA KIDOGO - TAFADHALi SANA JARIBU kuelewa MY CONCERNS and not TWISTING DAMN WORDS, PLEASE...

Tumefika kwenye stage hii? Yaani Unasoma Hii article to PLEASE your LEFT LEANING MIND? WOW

Kwahiyo Unaona Individualism works in AFRICAN TYPE of DEMOCRACY? You don't need to sacrifice...

ZITTO anasema Wananchi wakimwogoma KIONGOZI wao ni UDIKTETA; lakini KIONGOZI akiwaogopa Wananchi ni DEMOKRASIA

Sasa Inamaana Tulikuwa tunamuogopa NYERERE alikuwa ni DIKTETA? ki VIPI ?

Kwahiyo Rais tuliye naye sasa Jakaya KIKWETE hatumuogopi? ni DEMOKRASIA ya kweli ? 2010 karibia aanguke kama sio MIZENGWE na CUF ku-campaign achaguliwe sababu wale wa CHADEMA walionekana kama wanashinda hivyo CUF itumie nguvu za DINI kuhakikisha KIKWETE anachaguliwa....

So, was that a DEMOCRACY ?

Ndio Maana nakuambia vitu vidogo vidogo kama VIKABILA DINI n,k lazima vikemewa Mapema kabla havijaota MIZIZI na kushindwa kukata hiyo MIZIZI kama NCHI ZINGINE sasa hivi ni Mapango

mbona unaruka ruka hutulii kwenye mstari? tambua unaongea name mtu mzoefu na mwenye uelewa mkubwa sihitaji maneno mengi ili nikuelewe.
je zzk amekosea nini kuongea na wapigakura wake? huo udini na ukabila si umetamalaki huko kwenu? kwanini mmekuwa watu wenye chuki na wabaguzi kwa watu tofauti na nasaba yenu? mnaogopa nn mtoto wa kigoma akishinda uenyekiti? mnafikiri missions na visions zenu hatuzijui? ukombozi UPI mnaoutafuta kwa wa tz? mnajiona super sana? fundisho laja 2015 Ngano na makapi vitatengana Katu hamtatutawala
 
mbona unaruka ruka hutulii kwenye mstari? tambua unaongea name mtu mzoefu na mwenye uelewa mkubwa sihitaji maneno mengi ili nikuelewe.
je zzk amekosea nini kuongea na wapigakura wake? huo udini na ukabila si umetamalaki huko kwenu? kwanini mmekuwa watu wenye chuki na wabaguzi kwa watu tofauti na nasaba yenu? mnaogopa nn mtoto wa kigoma akishinda uenyekiti? mnafikiri missions na visions zenu hatuzijui? ukombozi UPI mnaoutafuta kwa wa tz? mnajiona super sana? fundisho laja 2015 Ngano na makapi vitatengana Katu hamtatutawala

Ni wapi Amesema kuwa anataka kugombea UENYEKITI wa CHAMA? na kuwa MWENYEKITI wa CHAMA kwa CHADEMA sio TICKETI ya KUGOMBEA URAIS wa JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA

Kumbuka kuwa kila VYAMA nchini vina njia tofauti za kuteua MGOMBEA URAIS wa JAMHURI; CHAMA CHA MAPINDUZI bado kinatumia STYLE ya KICOMMUNIST ya ENZI YA KICHINA na KIRUSI ambapo WanaCHAKACHUANA na KUAMBIZANA kuwa anayefaa kuwa RAIS ni FULANI na wanaitisha MKUTANO MKUU kama GERESHA TU lakini campaign na gumzo ndogondogo zimeshapitishwa na kuhimiza ya kuwa JINA la Mwanachama fulani ni lazima awe na KURA NYINGI hivyo kupata kura za kuwa MGOMBEA URAIS

Sasa kwa CHADEMA Unajua FIKA hawana hizoFIKRA NYETI za UPENDELEO na UZANDIKI kama CCM

Sababu sasa hivi tungesha kuwa na Rais wa Jina SALIM AHMED SALIM; Kama Rais wa Jamhuri au GHARIB BILAL kama Rais wa ZANZIBAR... kama kweli kungekuwa na Demokrasia ya kweli

Na Ukiangalia CHADEMA kumchagua Dr. Slaa kugombea URAIS wakati kwa UNGWE ya 2010 alikuwa anakubalika na wananchi wengi sana;

Sasa Kwahiyo Matatizo ya CHADEMA ni tu kutompa ZITTO KABWE UENYEKITI? na kama wanamwambia ni bado kijana asubiri kidogo apate hekima kidogo is that wrong????

Haya Hakuna tatizo la kuongea na wapiga kura wake; tatizo linakuja wakati HOW HE REPRESENTS himself at that MEETING... Hana BENDERA ya CHAMA CHAKE bali BENDERA ya TAIFA; Ana pata huduma toka kwa VIJANA wa CCM former CHADEMA ambao alisha wasema vipaya na kuwa-resist baada ya wao kuandika habari kuwa aliwekewa sumu...

So Ni nini tuamini? TO BE A POLITICIAN YOU NEED TO BE STABLE STRONG and DECISIVE; No LIGHT or DARKNESS will MAKE YOU CHANGE your MORALE... Mmmmmmmmmm MONEY is EVIL EH?
 
mbona unaruka ruka hutulii kwenye mstari? tambua unaongea name mtu mzoefu na mwenye uelewa mkubwa sihitaji maneno mengi ili nikuelewe. je zzk amekosea nini kuongea na wapigakura wake? huo udini na ukabila si umetamalaki huko kwenu? kwanini mmekuwa watu wenye chuki na wabaguzi kwa watu tofauti na nasaba yenu? mnaogopa nn mtoto wa kigoma akishinda uenyekiti? mnafikiri missions na visions zenu hatuzijui? ukombozi UPI mnaoutafuta kwa wa tz? mnajiona super sana? fundisho laja 2015 Ngano na makapi vitatengana Katu hamtatutawala
Tanzania haiwezi kuendelea kwa sababu watanzania wengi ni malimbukeni.
 
Hotuba nzuri sana, kama kweli aliye itoa ana maanisha alichokisema. Vinginevyo hakuna jambo la kushangila hapa. Akihubiri maji, basi aonekane anatumiabmaji na sii divai.
 
CHADEMA Mnashangaza kweli ....

ZITTO kaenda JIMBONI kwake imewauma kweli....
Mlitaka asiende ?
Mbona Babu yenu kaenda huko hamkumkataza ?
Pia babu yenu si alishasema Mjadala wa zito umefungwa ?

Pia nyinyi si hamumtaki zito ?
Basi muacheni na mambo yake na nyinyi fanyeni Yenu....

KINAWAUMA nini ?
 
Juzi nilipoingia Bungeni kwa mara ya kwanza baada ya matukio kadhaa yanayoendelea ndani ya chama chetu nilikaa pamoja na mbunge Tundu Lissu. Wabunge wengine walidhani tutarushiana ngumi na badala yake ikawa ni vicheko na mazungumzo.
 
"Demokrasia bila
kuaminiana,
demokrasia bila
kuvumiliana sio
demokrasia ya kweli"
Kwahiyo zito ulitaka tukuvumilie ukiue chama? Hiyo demokrasia kaifanye ccm.
 
Kiongozi yeyote hata kama angekuwa na uwezo wa kuandaa hotuba nzuri namna gani na kukubalika lakini kama ni mla rushwa hafai hata bure. Kwa wanaomfahamu z it to vizuri hakika wanaona hii ni kama siku nyingine tu mnafiki kapita.
 
Kiongozi yeyote hata kama angekuwa na uwezo wa kuandaa hotuba nzuri namna gani na kukubalika lakini kama ni mla rushwa hafai hata bure. Kwa wanaomfahamu z it to vizuri hakika wanaona hii ni kama siku nyingine tu mnafiki kapita.

Acha wivu......say it analytically . Zitto has fought against with all form of corruption....from the saga of buzwagi up to switz billions. Dont you feel shy to tag him with the word corrupt? You people are so amazing when you dont like somebody.
 
Zitto aseme zike hela za kwa andreas ni za nini..otherwise ni mwongo na anataka cheap populality..aende zake kule hana jipya
 
Mie sina imani na huyu zzk, na hzo picha mbona wanaccm naona wameinua mabango ya kijani? Alafu hii ziara ni ya kichama au?

Zitto wanampenda sana watu wa ccm lakini hawataki kumchukua pamoja na kumsifia kote huko
 
zitto.jpg


MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, amesema hana chuki na yeyote ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Zitto, alisema baadhi ya watu wanafikiri ana chuki na viongozi wenzake baada ya Kamati Kuu ya CHADEMA kumvua nyadhifa zake kwa madai ya usaliti.

Mbunge huyo alitoa kauli hiyo jana wakati akiwahutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Mwandiga mjini Kigoma. Katika mkutano huo ambao ni wa kwanza kuufanya mkoani Kigoma tangu alipovuliwa nyadhifa zake ndani ya CHADEMA, alisema baadhi ya wabunge walikuwa wakisubiri waone namna atakoavyoshirikiana na wenzake bungeni.

"Nilipoingia bungeni kwa mara ya kwanza baada ya matukio kadhaa yanayoendelea ndani ya chama chetu, nilikaa pamoja na Mbunge Tundu Lissu. Wabunge wengine walidhani tutarushiana ngumi na badala yake ikawa ni vicheko na mazungumzo.

"Hii ni kwa sababu sina chuki na mtu yeyote yule. Nimejifunza kutojenga chuki na watu na badala yake kuchukua kila tukio kama changamoto ya maisha," alisema.Zitto alisema siasa inakabiliwa na tatizo kubwa la kutoaminiana jambo linalozalisha kutokuvumiliana.

Alibainisha kuwa kwa sasa kuwa na mawazo tofauti katika vyama vya siasa au katika asasi za kijamii kunatafsiriwa kuwa ni uhaini. Alisema bila ya kuwa na tofauti za mawazo kamwe taifa na vyama haviwezi kuwa imara.

"Demokrasia imara ni zao la tofauti za mawazo na uhuru wa mawazo. Kama hatuwezi kujenga vyama vinavyorutubisha uhuru wa mawazo na tofauti za mawazo, tutajenga taifa lenye watu wenye kuogopa na waliojaa woga," alisema Zitto.

Alisema wanachama wanapoogopa uongozi badala ya kuuheshimu ni udikteta na uongozi unapoogopa wanachama una tafsiri ya demokrasia.Aliongeza kuwa bila demokrasia ya uwazi na kuvumiliana kutakuwa na taifa la kidikteta na kwamba ni lazima vyama vya siasa viongozwe kwa namna ile ile ambayo taifa litaongozwa.

Alisema ni vema viongozi wakaruhusu mawazo tofauti na hatimaye kutafuta suluhu ya pamoja huku akieleza kuwa siasa ina misingi yake ambayo wanasiasa walio wengi wanasahau kwa makusudi.Akizungumzia mabilioni ya Uswisi, aliwaambia wana Kigoma kuwapuuza watu wanaodhani anatafuta umaarufu binafsi.

"Wanaposema ninatafuta umaarufu, ni uongo, mnaposikia eti kukataa kwangu kuchukua posho ni unafiki na kujitafutia umaarufu ni uongo! Kinachonisukuma kufanya vyote hivi ni ninyi. Ninasukumwa kila ninapowaona watoto bado wanatembea bila viatu, kila ninapoona akinamama.

wanapoteza maisha yao katika uzazi, kila ninapoona vijana ambao hawana uhakika wa kupata hata mlo mmoja kwa siku kwa kukosa kazi; ninapoona wazee wa Kigoma kukosa hata shilingi mia moja kununua chai asubuhi. Ninawaona si wanaKigoma bali mamilioni ya Watanzania wakiishi katika hali hii," alisema Zitto.

Alisema kutokutaja kwake majina ya watu walioficha fedha nje ya nchi haimaanishi kuwa hana majina ya watu hao, na kwamba mwanasheria mkuu wa serikali aliamua kutumia fursa ya Bunge kuudanganya umma.

Chanzo: Tanzania Daima
 
WELL SAID wewe ni mwanachadema mtiifu, bila shaka njia ya wale wafitini ni fupi, kwani uongo na kuzusha hapo mwanzo ulikuepo kwa shetani nae ndie shetani na ndio mashetani
 
Back
Top Bottom