unaposema kabila dogo unamaanisha nini?
ZZK usiingie humu kinyemela-hebu kuwa brave enough ku-exchange notes na wana JF.Umeiga tabia mbaya ya wanasiasa uchwara na wanasiasa majambazi kuandaa na kugharamia 'mapokezi' yao wenyewe. How long are you going to sustain this? Are your bankrollers permanent? Grow up bimbo!
Kuna Bango ZITTO ni Kama MANDELA ki vipi?
MANDELA habagui hatengi sio two faces hakuwa na tamaa
Sasa ZITTO baada ya huu MKUTANO wa TABORA atakwenda ARUSHA kuhutubia ?
Au ndio sasa tumeanza kama KENYA Bahati Mbaya yeye ni KABILA DOGO anaamsha watu wa Makabila Makubwa pia kugombea URAISI?
mbona unaruka ruka hutulii kwenye mstari? tambua unaongea name mtu mzoefu na mwenye uelewa mkubwa sihitaji maneno mengi ili nikuelewe.
je zzk amekosea nini kuongea na wapigakura wake? huo udini na ukabila si umetamalaki huko kwenu? kwanini mmekuwa watu wenye chuki na wabaguzi kwa watu tofauti na nasaba yenu? mnaogopa nn mtoto wa kigoma akishinda uenyekiti? mnafikiri missions na visions zenu hatuzijui? ukombozi UPI mnaoutafuta kwa wa tz? mnajiona super sana? fundisho laja 2015 Ngano na makapi vitatengana Katu hamtatutawala
Ni wapi Amesema kuwa anataka kugombea UENYEKITI wa CHAMA? na kuwa MWENYEKITI wa CHAMA kwa CHADEMA sio TICKETI ya KUGOMBEA URAIS wa JAMHURI ya MUUNGANO wa TANZANIA
Kumbuka kuwa kila VYAMA nchini vina njia tofauti za kuteua MGOMBEA URAIS wa JAMHURI; CHAMA CHA MAPINDUZI bado kinatumia STYLE ya KICOMMUNIST ya ENZI YA KICHINA na KIRUSI ambapo WanaCHAKACHUANA na KUAMBIZANA kuwa anayefaa kuwa RAIS ni FULANI na wanaitisha MKUTANO MKUU kama GERESHA TU lakini campaign na gumzo ndogondogo zimeshapitishwa na kuhimiza ya kuwa JINA la Mwanachama fulani ni lazima awe na KURA NYINGI hivyo kupata kura za kuwa MGOMBEA URAIS
Sasa kwa CHADEMA Unajua FIKA hawana hizoFIKRA NYETI za UPENDELEO na UZANDIKI kama CCM
Sababu sasa hivi tungesha kuwa na Rais wa Jina SALIM AHMED SALIM; Kama Rais wa Jamhuri au GHARIB BILAL kama Rais wa ZANZIBAR... kama kweli kungekuwa na Demokrasia ya kweli
Na Ukiangalia CHADEMA kumchagua Dr. Slaa kugombea URAIS wakati kwa UNGWE ya 2010 alikuwa anakubalika na wananchi wengi sana;
Sasa Kwahiyo Matatizo ya CHADEMA ni tu kutompa ZITTO KABWE UENYEKITI? na kama wanamwambia ni bado kijana asubiri kidogo apate hekima kidogo is that wrong????
Haya Hakuna tatizo la kuongea na wapiga kura wake; tatizo linakuja wakati HOW HE REPRESENTS himself at that MEETING... Hana BENDERA ya CHAMA CHAKE bali BENDERA ya TAIFA; Ana pata huduma toka kwa VIJANA wa CCM former CHADEMA ambao alisha wasema vipaya na kuwa-resist baada ya wao kuandika habari kuwa aliwekewa sumu...
So Ni nini tuamini? TO BE A POLITICIAN YOU NEED TO BE STABLE STRONG and DECISIVE; No LIGHT or DARKNESS will MAKE YOU CHANGE your MORALE... Mmmmmmmmmm MONEY is EVIL EH?
wewe ni msukule kama wengine waliojazana lumumba fc,ulitaka awe m/kt CDM kwa msaada wa maccm? hilo katu halitawezekana! CDM haiwezi kuongozwa na watu wanafiki,waoga au wanaoweza kununulika! namshauri kama anataka uongozi bas aanzishe chama cha mamluki na wasaliti ili akiongoze! cdm mfukuzeni haraka huyo masalia
Acha wivu......say it analytically . Zitto has fought against with all form of corruption....from the saga of buzwagi up to switz billions. Dont you feel shy to tag him with the word corrupt? You people are so amazing when you dont like somebody.
Kigoma inawanasiasa waliokataa kutumika na wahafidhina
Unataka kutuaminisha kwamba hao wote ni wafuasi wa CCM kisa hakuna bendera ya chama?
Zitto kaenda kuongea na wananchi wenzake waliomchagua hakwenda kuongea na wana CHADEMA peke yao
Acheni siasa za maji taka,tusukume gurudumu la mabadiliko
Una Imani na nafsi yako utakua na Imani na Zitto .....ebu kubali matokeo kijana Kifaa Huyo ...
Wewe mwehu kweli, ina maana alichaguliwa na wananchi wasio na vyama? Sijui ni kwanini Mungu naye aliumba baadhi ya watu wenye akili finyu kama huyu!